Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 13,588
- 22,752
Labda udaga/ngadammh, wa kilimo wanajulikana acheni maneno ya vijiweni,, Jf siyo maboya wakudanganya kirahisi,, katunge uongo mwingine,,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda udaga/ngadammh, wa kilimo wanajulikana acheni maneno ya vijiweni,, Jf siyo maboya wakudanganya kirahisi,, katunge uongo mwingine,,
We umeliamini Hilo? Okey tufanye uko sahihi.nina swali 1,hivi ukiwa unamiliki hisa wewe sio mmiliki wa kampuni husika?KM HUAMINI HILO BHAC BAKI HVYO HVYO...
UNAKUA MMILIKI ILA UKIWA NA HISA CHACHE HAPO HAUKO SAWA NA MWENYE SHARE NYINGI... ILA SIO KM ANAVYOJINASIBUWe umeliamini Hilo? Okey tufanye uko sahihi.nina swali 1,hivi ukiwa unamiliki hisa wewe sio mmiliki wa kampuni husika?
Nassibu anamiliki hisa % ngapi wasafi tv wasafi radio?UNAKUA MMILIKI ILA UKIWA NA HISA CHACHE HAPO HAUKO NA MWENYE SHARE NYINGI... ILA SIO KM ANAVYOJINASIBU
SIFAHAMU ANA HISA KIASI GANI ILA KUSAGA ANA HISA NYINGI PALE PALE WASAFI BROADCASTINGNassibu anamiliki hisa % ngapi wasafi tv wasafi radio?
Ikiwa yeye mwenyewe hapendi tujue, kimekuwasha nini uache shughuli zako uje kuanzisha mada kuhusu yasiyokuhusu?Diamond ana mashamba makubwa makubwa sana na analima alizeti,karanga na mchele ingawa yeye binafsi hapendi kuliweka wazi suala hili.
Kwa hiyo wale ambao wanadhani diamond atafulia kipesa wanajisumbua tu ukimzibia huku jamaa anatoboa huku.
Sasa kiongozi huoni kama haumtendei haki mtoto wa watu?maana huna uhakika pia hujui nani mmiliki wake?SIFAHAMU ANA HISA KIASI GANI ILA KUSAGA ANA HISA NYINGI PALE PALE WASAFI BROADCASTING
We umeliamini Hilo? Okey tufanye uko sahihi.nina swali 1,hivi ukiwa unamiliki hisa wewe sio mmiliki wa kampuni husika?
UNAKUA MMILIKI ILA UKIWA NA HISA CHACHE HAPO HAUKO SAWA NA MWENYE SHARE NYINGI... ILA SIO KM ANAVYOJINASIBU
Ila unakuwa?Huwezi kuwa na 10% alafu ukijata wewe ndio mmiliki.
Hiyo ni siri nimeamua kuwavujishiaDiamond hata akimiliki baiskeli tutajua tu, anavyopenda sifa
hawezi kufulia!!?....wewe ndo unaepanga?...kuna matajiri wakubwa na wamefulia sembuse yeye!....siombei afulie lakini huwezi tuhakikishia eti hawezi kufulia!!Hili jambo ninajua wengi hamlifahamu lakini ukweli ni kwamba Diamond hategemei muziki ili kukuza utajiri wake, asilimia kubwa ya utajiri wake unatokana na kilimo.
Diamond ana mashamba makubwa makubwa sana na analima alizeti,karanga na mchele ingawa yeye binafsi hapendi kuliweka wazi suala hili.
Kwa hiyo wale ambao wanadhani diamond atafulia kipesa wanajisumbua tu ukimzibia huku jamaa anatoboa huku.
Mbali na suala hilo, Diamond pia ni mkali sana kwenye suala la kazi, yaani ukitaka kumjua Diamond ni katili namna gani wewe haribu kazi aliyokutuma baasi.
SwadaktaHawehawezi kufulia!!?....wewe ndo unaepanga?...kuna matajiri wakubwa na wamefulia sembuse yeye!....siombei afulie lakini huwezi tuhakikishia eti hawezi kufulia!!
Wabongo bana yani mambo ya current world news affair hamchelewi mko sana updated. Msela tayari ushaweka avatar picha ya khashoggiKM HUAMINI HILO BHAC BAKI HVYO HVYO...
Ila unakuwa?