Asilimia kubwa ya utajiri wa Diamond unatokana na kilimo

Kama yeye hapendi kuliweka wazi suala la kilimo we kiherehere cha nini kuongelea mambo ya mwanaume mwenzako tena ambayo yeye binafsi kaona yabaki kuwa siri? Nauliza tu mkuu
Kuna tatizo kwani?
 
Labda kilimo cha OPIUM.
 
Huku Morogoro tunalima mpunga, yeye MCHELE analimia wapi?
 
Kumiliki kampuni mtu zaidi ta mmoja mbona ni swala la kawaida wee jamaa hoja.yako imekaaa kishari sana utakua team kariaako ww saa kama msela anamiliki 45℅ izi zinamfanya awe mkurugenzi kabisa ata ka kusaga anamiliki 54℅ ila.mondi soo wa mchezo na ℅ zake
 
NAONA UZI UMEISHA WAKUANDUKA HUKU KILIMO DIAMOND HUKU YOUNG DEE AYA BHANA MWISHO DIAMOND UTADEMA ANAMILIKI WASAFI tv kumbe wasafi tv ya joseph kusaga ye ana share tu
Asilimia 45 za mondi,hata mange hakuamini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…