Asilimia kubwa ya viongozi wa CCM wana akili kubwa, ila wanachama wa kawaida asilimia kubwa ni wajinga, masikini wa fikra na mali

Asilimia kubwa ya viongozi wa CCM wana akili kubwa, ila wanachama wa kawaida asilimia kubwa ni wajinga, masikini wa fikra na mali

Usiwachukulie powa viongozi wa CCM ,ni kikundi cha watu wachache sana wenye akili nyingi, ndio maana wakigundua kule upinzani kuna mtu ana akili kama zao watataka wamvute ili waimarishe timu, Silinde, Kafulila, Katambi, Shonza, na wengineo wengi ni mfano hai.

Njoo kwa wananchi wa kawaida sasa, wale wenye akili huwa hawashabikii CCM bali malofa,wajinga na masikini wa kipato na akili.

Hii ni kuanzia ngazi ya kata kushuka chini,

Hii ina maana kuna watu wenye akili wanajiunga CCM ili kugawana keki ya Taifa.

Narudia tena ukiona mtu hana mpango wa kugombea uongozi na yuko CCM basi ujue huyo ni masikini ama wa kipato au fikra

Ndio maana CCM ina nguvu mikoa iliyo nyuma kimaendeleo.

CCM wanalijua hili ndio maana inachekewesha maendeleio ili iendelee kutawala,Watanzania siku wakielimika na kupevuka akili ndio anguko la CCM
Shonza, Katambi.... hahahaha 🤣 🤣 🤣.
 
Ccm kinachombeba ni vyombo vya ulinzi tu basi.mfano polisi huzuia maandamano ya haki kama yale ya utekaji na kuzuia mikutano ya ndani ya vyama vya upinzani Kwa hoja za kijinga kuwa intelijensia imetabiri vurugu.Vilevile teeth ni mabingwa wa kuiba kura Kwa kuibeba ccm.Siku vyombo vya ulinzi vikapata watu waadilifu na wenye kufuata haki,CCM ndiyo itakuwa mwisho wake
 
Usiwachukulie powa viongozi wa CCM ,ni kikundi cha watu wachache sana wenye akili nyingi, ndio maana wakigundua kule upinzani kuna mtu ana akili kama zao watataka wamvute ili waimarishe timu, Silinde, Kafulila, Katambi, Shonza, na wengineo wengi ni mfano hai.

Njoo kwa wananchi wa kawaida sasa, wale wenye akili huwa hawashabikii CCM bali malofa,wajinga na masikini wa kipato na akili.

Hii ni kuanzia ngazi ya kata kushuka chini,

Hii ina maana kuna watu wenye akili wanajiunga CCM ili kugawana keki ya Taifa.

Narudia tena ukiona mtu hana mpango wa kugombea uongozi na yuko CCM basi ujue huyo ni masikini ama wa kipato au fikra

Ndio maana CCM ina nguvu mikoa iliyo nyuma kimaendeleo.

CCM wanalijua hili ndio maana inachekewesha maendeleio ili iendelee kutawala,Watanzania siku wakielimika na kupevuka akili ndio anguko la CCM
Unaonekana ulipigwa chini 2022 kwenye uchaguzi wao wa ndani.
 
Usiwachukulie powa viongozi wa CCM ,ni kikundi cha watu wachache sana wenye akili nyingi, ndio maana wakigundua kule upinzani kuna mtu ana akili kama zao watataka wamvute ili waimarishe timu, Silinde, Kafulila, Katambi, Shonza, na wengineo wengi ni mfano hai.

Njoo kwa wananchi wa kawaida sasa, wale wenye akili huwa hawashabikii CCM bali malofa,wajinga na masikini wa kipato na akili.

Hii ni kuanzia ngazi ya kata kushuka chini,

Hii ina maana kuna watu wenye akili wanajiunga CCM ili kugawana keki ya Taifa.

Narudia tena ukiona mtu hana mpango wa kugombea uongozi na yuko CCM basi ujue huyo ni masikini ama wa kipato au fikra

Ndio maana CCM ina nguvu mikoa iliyo nyuma kimaendeleo.

CCM wanalijua hili ndio maana inachekewesha maendeleio ili iendelee kutawala,Watanzania siku wakielimika na kupevuka akili ndio anguko la CCM
kugombea uongozi chadema hasa uenyekiti Taifa ni sawa na kuonja sumu kwa ulimi..

kugombea kwenye nafasi nyingine, kuna hatari ya kutolewa kafara au kuchukuliwa msukule 🐒
 
Kwa sasa mkuu chadema haina nguvu unayoipa ushawishi wake umeshika kwa kasi kubwa sana nadhani mzimu wa JPM utawatesa sana mpaka waombe radhi la sivyo watapotea kabisa kama TLP.
Hivi Jiwe si ndiye alisema ataiua CDM mwisho wa siku akafa yeye
 
Ni kweli CCM ina watu wengi wenye Akili tatizo ni kwamba utamaduni wa kuwaabudu viongozi unawaangusha. Yaani utaratibu ule wa zidumu fikra za mwenyekiti unaenelea na ndio maana kuna uchawa.
 
Mageuzi ya kifikra yanahitajika ili kujikomboa ktk utawala wa ccm

fikra mpya
1. Tunahitaji mageuzi ya kimfumo na kiutawala m'badala wa ccm ili kuleta viongozi wapya na mawazo na dira mpya
2. Katiba mpya
3. CCM wawe wapinzani kwa muda ili nao wawe wakosoaji ktk kuleta maendeleo ya taifa
Tumeendekeza mawazo ya kusaidiwa kuliko kujitegemea.
Haya uliyo andika sahau
 
Usiwachukulie powa viongozi wa CCM ,ni kikundi cha watu wachache sana wenye akili nyingi, ndio maana wakigundua kule upinzani kuna mtu ana akili kama zao watataka wamvute ili waimarishe timu, Silinde, Kafulila, Katambi, Shonza, na wengineo wengi ni mfano hai.

Njoo kwa wananchi wa kawaida sasa, wale wenye akili huwa hawashabikii CCM bali malofa,wajinga na masikini wa kipato na akili.

Hii ni kuanzia ngazi ya kata kushuka chini,

Hii ina maana kuna watu wenye akili wanajiunga CCM ili kugawana keki ya Taifa.

Narudia tena ukiona mtu hana mpango wa kugombea uongozi na yuko CCM basi ujue huyo ni masikini ama wa kipato au fikra

Ndio maana CCM ina nguvu mikoa iliyo nyuma kimaendeleo.

CCM wanalijua hili ndio maana inachekewesha maendeleio ili iendelee kutawala,Watanzania siku wakielimika na kupevuka akili ndio anguko la CCM
Mfano hai ni msukule Lucas Mwashambwa.
 
Wewe ni mjinga pia
  • Tuambie utafiti huu uliufanya ktk mikoa ipi;
  • Tuambie sample yako ilikuwa na wahojiwa wangapi;
  • Tuambie huko mitaani wanaccm uliwatambuaje?

Inshort kazi ya utafiti huiwezi
Wewe mwenyewe ni sample space,
Nyie ndio wale wanachama wa chini wajinga ninaosema
 
Akina Lucas Mwashambwa 🤣
Usiwachukulie powa viongozi wa CCM ,ni kikundi cha watu wachache sana wenye akili nyingi, ndio maana wakigundua kule upinzani kuna mtu ana akili kama zao watataka wamvute ili waimarishe timu, Silinde, Kafulila, Katambi, Shonza, na wengineo wengi ni mfano hai.

Njoo kwa wananchi wa kawaida sasa, wale wenye akili huwa hawashabikii CCM bali malofa,wajinga na masikini wa kipato na akili.

Hii ni kuanzia ngazi ya kata kushuka chini,

Hii ina maana kuna watu wenye akili wanajiunga CCM ili kugawana keki ya Taifa.

Narudia tena ukiona mtu hana mpango wa kugombea uongozi na yuko CCM basi ujue huyo ni masikini ama wa kipato au fikra

Ndio maana CCM ina nguvu mikoa iliyo nyuma kimaendeleo.

CCM wanalijua hili ndio maana inachekewesha maendeleio ili iendelee kutawala,Watanzania siku wakielimika na kupevuka akili ndio anguko la CCM
 
Back
Top Bottom