Asilimia kubwa ya viongozi wa CCM wana akili kubwa, ila wanachama wa kawaida asilimia kubwa ni wajinga, masikini wa fikra na mali

Ni kweli CCM ina watu wengi wenye Akili tatizo ni kwamba utamaduni wa kuwaabudu viongozi unawaangusha. Yaani utaratibu ule wa zidumu fikra za mwenyekiti unaenelea na ndio maana kuna uchawa.
Hivi uchawa wa Lema kwa mbowe unaweza kulinganisha na kitu chochote aisee?
 
Hivi uchawa wa Lema kwa mbowe unaweza kulinganisha na kitu chochote aisee?
Lema ni mafia kuliko mbowe,kazidiwana mbowe umri na hela tuila Lema hawrzi kuwa chawa,Arusha wanajua mtiti wake,kwanza tushukurukaingia kwenye siasa ,ngoja ninyamaze
 
Lema ni mafia kuliko mbowe,kazidiwana mbowe umri na hela tuila Lema hawrzi kuwa chawa,Arusha wanajua mtiti wake,kwanza tushukurukaingia kwenye siasa ,ngoja ninyamaze
Lema hadi kwenye matukio yoyote ni lazima alazimeshe awe na mzee mbowe karibu ili mradi tu apate attention🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️
 
Kbisa
 
Ikiwa viongozi wanatokana na wanachama wa kawaida, iweje akiwa normal member anakuwa Mjinga, ila akipanda kuwa kiongozi wa juu anakuwa na akili mingi!!

Kwann🤔
 
Ikiwa viongozi wanatokana na wanachama wa kawaida, iweje akiwa normal member anakuwa Mjinga, ila akipanda kuwa kiongozi wa juu anakuwa na akili mingi!!

Kwann🤔
Kuna cream ya watu wacgache pale jjuu,hawa walishoot from no where,hakuna mbunge aliyewahi kuwa balozi wa nyumba kumikumi,ni kikundi cha elite wachache ndio wanaotutawala,the rest ni mbumbumbu tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…