Hivi uchawa wa Lema kwa mbowe unaweza kulinganisha na kitu chochote aisee?Ni kweli CCM ina watu wengi wenye Akili tatizo ni kwamba utamaduni wa kuwaabudu viongozi unawaangusha. Yaani utaratibu ule wa zidumu fikra za mwenyekiti unaenelea na ndio maana kuna uchawa.
Lema ni mafia kuliko mbowe,kazidiwana mbowe umri na hela tuila Lema hawrzi kuwa chawa,Arusha wanajua mtiti wake,kwanza tushukurukaingia kwenye siasa ,ngoja ninyamazeHivi uchawa wa Lema kwa mbowe unaweza kulinganisha na kitu chochote aisee?
Lema hadi kwenye matukio yoyote ni lazima alazimeshe awe na mzee mbowe karibu ili mradi tu apate attention🙆♂️🙆♂️🙆♂️Lema ni mafia kuliko mbowe,kazidiwana mbowe umri na hela tuila Lema hawrzi kuwa chawa,Arusha wanajua mtiti wake,kwanza tushukurukaingia kwenye siasa ,ngoja ninyamaze
Kijana wa Lumumba nimekuelewaHapana mkuu,sina kadi ya chama chochote
Milele na milele ili iweje? Au na wewe ndiyo wale waleBasi weee mkuu utaishi milele na milele
KbisaUsiwachukulie powa viongozi wa CCM ,ni kikundi cha watu wachache sana wenye akili nyingi, ndio maana wakigundua kule upinzani kuna mtu ana akili kama zao watataka wamvute ili waimarishe timu, Silinde, Kafulila, Katambi, Shonza, na wengineo wengi ni mfano hai.
Njoo kwa wananchi wa kawaida sasa, wale wenye akili huwa hawashabikii CCM bali malofa,wajinga na masikini wa kipato na akili.
Hii ni kuanzia ngazi ya kata kushuka chini,
Hii ina maana kuna watu wenye akili wanajiunga CCM ili kugawana keki ya Taifa.
Narudia tena ukiona mtu hana mpango wa kugombea uongozi na yuko CCM basi ujue huyo ni masikini ama wa kipato au fikra
Ndio maana CCM ina nguvu mikoa iliyo nyuma kimaendeleo.
CCM wanalijua hili ndio maana inachekewesha maendeleio ili iendelee kutawala,Watanzania siku wakielimika na kupevuka akili ndio anguko la CCM
Ikiwa viongozi wanatokana na wanachama wa kawaida, iweje akiwa normal member anakuwa Mjinga, ila akipanda kuwa kiongozi wa juu anakuwa na akili mingi!!Usiwachukulie powa viongozi wa CCM ,ni kikundi cha watu wachache sana wenye akili nyingi, ndio maana wakigundua kule upinzani kuna mtu ana akili kama zao watataka wamvute ili waimarishe timu, Silinde, Kafulila, Katambi, Shonza, na wengineo wengi ni mfano hai.
Njoo kwa wananchi wa kawaida sasa, wale wenye akili huwa hawashabikii CCM bali malofa,wajinga na masikini wa kipato na akili.
Hii ni kuanzia ngazi ya kata kushuka chini,
Hii ina maana kuna watu wenye akili wanajiunga CCM ili kugawana keki ya Taifa.
Narudia tena ukiona mtu hana mpango wa kugombea uongozi na yuko CCM basi ujue huyo ni masikini ama wa kipato au fikra
Ndio maana CCM ina nguvu mikoa iliyo nyuma kimaendeleo.
CCM wanalijua hili ndio maana inachekewesha maendeleio ili iendelee kutawala,Watanzania siku wakielimika na kupevuka akili ndio anguko la CCM
Kuna cream ya watu wacgache pale jjuu,hawa walishoot from no where,hakuna mbunge aliyewahi kuwa balozi wa nyumba kumikumi,ni kikundi cha elite wachache ndio wanaotutawala,the rest ni mbumbumbu tuIkiwa viongozi wanatokana na wanachama wa kawaida, iweje akiwa normal member anakuwa Mjinga, ila akipanda kuwa kiongozi wa juu anakuwa na akili mingi!!
Kwann🤔
How come!,hawa walishoot from no where,