Asilimia kubwa ya wanao nyoa vipara wana umeme

Asilimia kubwa ya wanao nyoa vipara wana umeme

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Habar JF

Kiukweli nimechunguza watu wanaopenda kunyoa kipara wanakuwa tiyari wameshepata umeme.
 
Hasa wale ambao nywele zimepepesuka.
 
Wanaume wa dar wakipata ela za kubeti na mb taabu tupuuuu......upupu gani sasa huuu......kaka ake Titus co bure
watu wamikoani sijui kwann amuelimiki...mkiambiwa ukweli mnaukataa...amjui kuwa dar nikifupi cha neno Tanzania.
 
Mtoa mada ni Mhaya kuu. Kumbuka umeme ulianzia mkoa kwao hivyo usimbishie
(Owomukyalo = wa duniani kwa kihaya)
Mh! Akwende huko na utafiti wake, so afanye utafiti wa senene!!
 
yule wa magogoni nae hafugagi nywele unataka kusema anao?
 
Hahahaa, mkuu mtoa maada umetishaa, [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Back
Top Bottom