Atakuwa nalo tuNajua basi mkuu! Ngoja waje
vipi chattle? na koromije?Salam wote.
Kuna taarifa kuwa asilimia kuwa asilimia kubwa ya wanaume wa ukanda wa mwanza hasa Geita hawajafanyiwa tohara. Utafiti unasema kuwa, tohara inapunguza maambukizi ya HIV kwa 60%.
Wanaume wa Geita hebu fungukeni je ni kweli hii?
Kama ni kweli inabidi mjitahidi mfanyiwe na kutokufanya tohara si nzuri kiafya.
Tafuta zaidi ushauri wa madaktari.
Nadhani kuna ushuhuda pia.
SweetheartMtoa mada wewe ni ke au me??
Kama ni ke basi ni halali yako lkn km ni me mh unatia kinyaa kujadili govi la dume wenzio
Shunie vipi hupendi za mzulaAiseee
Za kunigaya na kunisusa mke anasuswa kweli??? Johanna analalamika hukoSweetheart
Nikususe kabisa siwezi jamani!!Za kunigaya na kunisusa mke anasuswa kweli??? Johanna analalamika huko
Ndo maana muoga kumbeeeAtakuwa nalo tu
Umetususa umetuacha bila talakaNikususe kabisa siwezi jamani!!
Jonah analalamika nn tena