RED BULL
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 697
- 579
Salam wote.
Kuna taarifa kuwa asilimia kuwa asilimia kubwa ya wanaume wa ukanda wa mwanza hasa Geita hawajafanyiwa tohara. Utafiti unasema kuwa, tohara inapunguza maambukizi ya HIV kwa 60%.
Wanaume wa Geita hebu fungukeni je ni kweli hii?
Kama ni kweli inabidi mjitahidi mfanyiwe na kutokufanya tohara si nzuri kiafya.
Tafuta zaidi ushauri wa madaktari.
Nadhani kuna ushuhuda pia.
Kuna taarifa kuwa asilimia kuwa asilimia kubwa ya wanaume wa ukanda wa mwanza hasa Geita hawajafanyiwa tohara. Utafiti unasema kuwa, tohara inapunguza maambukizi ya HIV kwa 60%.
Wanaume wa Geita hebu fungukeni je ni kweli hii?
Kama ni kweli inabidi mjitahidi mfanyiwe na kutokufanya tohara si nzuri kiafya.
Tafuta zaidi ushauri wa madaktari.
Nadhani kuna ushuhuda pia.