Asilimia kubwa ya wanaume wanaojielewa wapo PM

Mkuu kumbuka kulipia tangazo la biashara yako!
 
Kilaa mtu na maana yake bt mi sikumaanishaa hivyo read btn lines
Hahahaa! naona Unajaribu kukikimbia kimvuli chako eeh?!
Hii ni JF na sio Fesibuku tambua hilo kwanza,
Wakubwa tumeshaelewa lengo la hii thd yako,ila umelipia hili tangazo la kuita wanaume PM?
 
Hao tuliopo pm ndo hao hao tuliopo humu hadharani kwa ID nyingine.
 
Mwanaume hapimwi kwa pm hata siku moja alafu wako aina nying
 
Kweli wewe ni mambembe.
Kazi kweli kweli
 
Hahahaa! naona Unajaribu kukikimbia kimvuli chako eeh?!
Hii ni JF na sio Fesibuku tambua hilo kwanza,
Wakubwa tumeshaelewa lengo la hii thd yako,ila umelipia hili tangazo la kuita wanaume PM?

Mzee sikuizi ni mambo ya online marketing, una purchase online wateja wapo.
 
Asanten sana wana jf hasa wanaume ...ten-sana-wana-jf-hasa-wanaume-wa-umu.1419610/
 
Yani niingie PM nikatongoze ID fake ambayo sijui kama uyo mtu ni wa kike kweli? Huo utakua ukichaa wa kiwango cha lami.
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…