Haki ya Mungu we kaka unakaribiaaa kudata [emoji16][emoji16][emoji16]mara useme the list alikuambiaa sasa hivi unasema mimi ndo the list [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyo The List unamtaja sana..au wewe ndio The List unatuchezea Erick??
Hahahha hawana tym za kuja kuchunguliaaa huku uwani wapo sebuleni[emoji23][emoji23][emoji23]Tehtehteh [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Wacha nifunge domo langu doh [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] sasa mbona watoa siri mamito wazeiya wa pm hawamind kweli???
Cc Smart911
Hamnopi tena ban comment kama hizi na zi[emoji706][emoji706][emoji706]
Hapo ndipo naposhangaa mimi sichangiagi mada kama hizi ila hapo ndipo aliponiuzi nakumuona brainless kabisaHivi kumfuata mwanamke pm ndio kujielewa eeh!
Unajua maana ya kujielewa au umeamua tu kutapika haya matapishi yako hapa?
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mambembe ntakutajia id ya shemeji ako akikujia huko pm umchambe
Juzi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ukiwa muongonuwe na kumbukumbu mwanaume suruali ww ....hao unao waona hapo wanaosema mm mwanaune ndonwalionisababishiaa ban na jana ndo limeishaa hiyo juzi ya wap?? Shame on u ....[emoji3][emoji3][emoji3] nimecheka sana kumbe watu washamshtukia.. Juzi tu nilimquote kumwambia ye ni mwanaume akatoa povu la pluto
Siisii inategemea mkuu si unaona hapo mwanzo [emoji115] [emoji115] [emoji115] nimemtaja thou sijaweka neno cc... Weeee naachaje kwa mfano it's automatic hata nikisahau inajiweka teh [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]No cc this tym... Kwel mambembe aka otieno ni noma
Hauna tofauti na wale wa badoo wote mnapenda PM.Najuaa itachoma kama pasi lakini mkubali mkatae wanaume wanaojielewaa na wa maana wapo PM ,sio hawa nguchiro tunaokimbizana nao na kuchambana nao kwenye thread,
mwanaume 24/7 yupo active ukipost kitu kacomment na kuandika shombo sijui hata kama anapataga muda wa kufuaa boxer ila hawa wa PM wapo jf tangu miaka na miaka na hawana tym ya kucomment wala nini Inshort wapo hapa kusocialise alafu umri wao kuanziaa 35 na kuendeleaa no blah blah
Jaman nilikuwa nshasema sitajibu message za Pm bt kusema ukweli Pm kutamu yaan kuna wababa wana maneno matamu ya kunipa moyo
Watu wanaojielewa na kutoaa ushauri wa maaana/wa maisha na namna ya kudeal na watu tofauti kutoka sehemu mbali mbali esp wa jf
Jaman kumbe nilikuwaa nakosa mengi eeehe kwa kutowajibu ,yaan mpkaa naanza kujutaa (kama nawaona wenye mabwana zao watakavyo nuna)
Yaaan mtu anakusifiaaa utasema sijui nn jomoni mpka unahisi ndo mara ya kwanza kusikiaa yale maneno(wanawake tunapenda maneno matamu sio makavu)
Lucky enough Pm imenipatiaa mtumishi wa bwana anayenipeleka vacation easter, kwa kweli im not lucky im blessed (kaniambiaa anataka nikatoe stress za jf)
Mungu anaipe nini mimi Mambembe?? guniaa la chawa nijikune?wacha nikale raha miyee.....
Bila kusahau kuna notification ya mtu mmoja nilikuwa namuheshimu sana nimeionaa eti Anasema alikuwa ananisubiri nitamfate Pm daaah nimesikitikaa saaanaa,yaan mtu kisa kumsifiaaa akadhani kuwa nataka kumuibiaa/kumtapeli yani nilivyoona notifaction ya comment yake nilimshusha saana anyway life must goes on mnazidi kunikomaza kiakili....
Pm is my new home.........and im there to stay
Mambembe the unstoppable
The queen of clapback
Ikikuuma chomoa
Achana nao yaaan mtu mpaka anafunguaa new account kudeal na mm ....mimi ni jeshi la mtu mmojaa waambieeSiisii inategemea mkuu si unaona hapo mwanzo [emoji115] [emoji115] [emoji115] nimemtaja thou sijaweka neno cc... Weeee naachaje kwa mfano it's automatic hata nikisahau inajiweka teh [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Cc Smart911
Hehehe apo sawa mkuu.Siisii inategemea mkuu si unaona hapo mwanzo [emoji115] [emoji115] [emoji115] nimemtaja thou sijaweka neno cc... Weeee naachaje kwa mfano it's automatic hata nikisahau inajiweka teh [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Cc Smart911
Aya basi njoo PM nikupe maneno matamu mtoto mzuri , kacute mwenyewe.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hebu niache leo ndo mara ya kwanza kwenda huko pm ndo pamenivutiaa sanaa