Asilimia kubwa ya wanawake wanaolewa kutafuta unafuu wa Maisha

Asilimia kubwa ya wanawake wanaolewa kutafuta unafuu wa Maisha

EIFFEL

Member
Joined
Jul 20, 2018
Posts
34
Reaction score
408
Habari za muda.

Polen na majukum ya kujenga Taifa, kwa sisi tuliolala, tutawasaidia kupaka rangi huko mbelen, maisha yanaenda.

Back to the Topic.

Iko hivi, naleta huu uzi kutokana na uzoefu nliopata mimi binafsi na kwa watu walionzunguka, jamii.

Nimenotice kitu cha kushangaza sana, kwa hii miaka ya hivi karibu, sijui ni ugumu wa maisha, kupenda kitonga au kukataa tamaa na maisha.

WANAWAKE.

Labda niwaulize swali mmoja tu, nini kinawapelekea kutaka kuolewa ili kupata unafuu wa maisha? Ama kulazimisha ndoa kwa haraka sana?

Kama mmenotice limetokea wimbi kubwa sana la wanawake ambao wako desperate sana na ndoa, wako tayari kufanya/kumfanyia chochote mwanaume aliekidhi vigezo wanavyovitaka wao ili tu waolewe nae.

Nina mifano hai, kutoka kwa wanawake wenyewe wakikiri kwa vinywa vyao, kua wapo tayari kuolewa na mwanaume mwenye hadhi/pesa ili tu maisha yao yaende vizuri, hayo mengine watavumilia huko huko.

Madhara ya haya mnajua yamekua ni yapi?
1. Kutodumu kwa ndoa
2.Ongezeko la watoto wasiopata malezi ya baba
3.Ongezeko la wimbi la udangaji
4.Ukatili wa kijinsia.
5.Vifo vya wivu wa kimapenzi.

Labda nseme hivi, wanawake wengi sana, hasa kutokana na ugumu wa maisha ya sasa, hawana ile ari ya upambanaji tena, hasa hawa mabinti wa mjini, wanapenda maisha ya ghali ambayo hata wao wenyewe hawawezi kuyamudu, ukikutana na binti mpambanaji atapambana atafika hatua akiona mambo hayaendi, anachoka, anakata tamaa, mwisho wa siku anasema bora aolewe tu atue mzigo.

Hujaja kwa wale ambao hawana issue za maana za kufanya, hawana kipato cha kueleweka, wanachagua kazi, na wanataka kuishi maisha ya kistar, hawa ndo jipu kabisa.
Mwisho wa siku nao utaona wamefika hatua anaona hana kitu chochote mkonon, cha umiliki wake, alichokua nacho pengine ni uzuri wake, matokeo yake anatafuta mwanaume wa kumpa unafuu wa maisha huku yeye akiendelea kufanya yake.

Jaman, naelewa maisha ni magumu, lakin mfahamu maisha magumu yapo kwa wote, wanawake na wanaume, lakin hili swala la wanawake kutopenda kujituma limekua too much.

Yan kwa sasa, mwanamke akipata mwanaume ni kama ndo amekua mtatuzi wa shida zake zote, wenyewe wanasema "He has to care", What?

Hivi mnaelewa maana ya mtu kukjali?
Sio umbebeshee shida zako zote kama vile wewe huna mikono na miguu ya kukfanya upambanie walau kitu kidogo cha kukfanya uishi maisha yako.

Sio wote, ila wadada naombeni niwaambie tu hili, wanaume sasa tumeshtuka.
Msipobadilika na sisi hatutobadilika.
Kama mnatafuta unafuu wa maisha kwa kutaka kuingia kwenye ndoa na wanaume wenye uwezo mzuri wa kiuchumi, mtaishia kua vipozeo wao bila hata nyie wenyewe kujijua na hatutowaambia, tutaendelea kuwadanganya mpaka akili zenu zikae sawa.

Wanaume wako smart sana, mbaya zaidi hua hawaongei, atakusoma tu, na akiona wewe sio wa kuweka ndan, atajipigia mpaka achoke anakutupa kule.

Jifunzeni namna ya kuadd value kwa mtu ama ndoa, sio unaleta tu sura yako nzuri na matacooooowwww yako ukafikiri maisha ndo umeyamaliza, wanaume tunakinai mapema sana, tukiona una mwili wako tu kwa ajili ya kuoffer, hatutokuambia, ila pia hatutokuweka ndan, na ikitokea ukawekwa ndan, subir uone matokeo yake.

Wanawake, acheni kupenda vitonga, maisha ya sasa yanahitaji upambanaji, pambana kwa sehem yako ndogo tu, na mtu aone unajituma, hata siku akikuweka ndan utachukua majukum yako kama mama, lakin anakua anajua ameweka jembe ndan.

Sio unataka kila kitu mwanaume akufanyie, wewe, ndugu zako, marafiki zako, shida zote yeye ndo awe mtatuzi, niwaambie tu, tutaendelea kujipigia na mtaendelea kuwaita wanaume wote ni Dogs.

Nimemaliza.
 
Habari za muda.
Polen na majukum ya kujenga Taifa, kwa sisi tuliolala, tutawasaidia kupaka rangi huko mbelen, maisha yanaenda.

Back to the Topic.
Iko hivi, naleta huu uzi kutokana na uzoefu nliopata mimi binafsi na kwa watu walionzunguka, jamii.
OK Sawa ila hakuna binadamu anayependa shida maana hata tendo la kuchakatana huku na mkiwa na njaa haliendi kabisa.......

Hata ww mwanaume maisha ya dhiki yatakuumiza kichwa so Why wasitafute penyee unafuu wa maisha .....

Waache wanawake wale utawala wa Nchiii 😃😄😅
 
Habari za muda.
Polen na majukum ya kujenga Taifa, kwa sisi tuliolala, tutawasaidia kupaka rangi huko mbelen, maisha yanaenda.

Back to the Topic.
Iko hivi, naleta huu uzi kutokana na uzoefu nliopata mimi binafsi na kwa watu walionzunguka, jamii.
Umeongea ukweli mtupu ila nasikitika tu kuona wataishia kusema “Tafta hela upunguze kulalamika” hio ndio jamii tunayoishi nayo sasa
 
Ungekua wewe nimwanamke ungekubali kuolewa na mwanaume asie na ela??
Issue sio kuolewa na mwanaume mwenye hela, issue ni madhumuni yako ya kuolewa na mwanaume mwenye hela.

Awe mtatuzi wa shida zako zote sio?
Umeshawah kuskia msemo usemao "Mkono mtupu haulambwi?"
Ukinielewa hapa utaelewa maana ya mm kuleta huu uzi.
 
Duuh mkuu kama vile unafanya miander hivi ( unaingia na kutoka ).

Narudi kwa wanaume, sasa kama umemuona Mwanamke ni mdangaji, hawezi ku-add value kwako, hana kitu cha thamani zaidi ya uzuri kwanini uoe?, Mwisho wa siku nasema ni upumbavu wa mwanaume kuingia katika ndoa kamaaliyajua hayo....

Umeongea vizuri sema umeongea katika upande mmoja, ujaangalia kila siku watu tunaona ongezeko la marioo mitaani wanawake wangapi ni tegemezi kwa familia zoa?

[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Umeongea ukweli mtupu ila nasikitika tu kuona wataishia kusema “Tafta hela upunguze kulalamika” hio ndio jamii tunayoishi nayo sasa
"Baba Angumbwike akikata ringi tu Mali zote zangu hizi"
 
Umeongea ukweli mtupu ila nasikitika tu kuona wataishia kusema “Tafta hela upunguze kulalamika” hio ndio jamii tunayoishi nayo sasa
Hakuna asiyependa kuamka ukiwa na uhakika wa breakfast, lunch na dinner. Matibabu hospital tena bila kuwaza gharama za vipimo na usafiri wake private. Ukiweza kutimiza haya hata ukiwa na miaka 80 unaoa binti wa miaka 20.
 
Inategemea na wanawake unaokutana nao ndo maana umewatolea hao mfano.

Lakini pia kila mtu ale anachokitaka. Ndio mimi siwezi kuwa na mwanaume ambae sijampenda au hana vigezo eti kisa ndoa.

Hata na nyie mna vigezo vyenu ndo maana hamuoi mwanamke yeyote, mara mnataka mwenye chura, mara mwenye miguu ya bia, mara awe natural hivyo vyote ni vigezo moyo unataka.
Je kama ndo hivyo kwa nini na sisi tusichague tunapotaka haijalishi tunataka unafuu wa maisha au la!
Hakuna mtu anaependa shida kila mwanaume au mwanaume ana vigezo na matamanio yake.

Mimi ni mchapa kazi visent vya kula sivikosi trust mwanaume ambae hana maisha anaishi kwa kubangaiza hapana.
Mkitaka mseme tunataka unafuu wa maisha hiyo iko wazi hakuna cha kupinga uko sahihi.

Niwasihi wanaume tafuteni pesa sisi ni wasaidizi wenu, mkitoa ada sisi tunasaidia kununua chakula na matumizi madodo madogo ya nyumbani na urembo wa nyumba.yaliyobaki ni majukumu yenu. Hakuna anaependa shida.

Dear mleta mada uko sahihi sana yaani tunataka mwanaume mchapa kazi kurahisisha unafuu wa maisha.

N.b nafanya kazi hela ya matumizi yangu ninayao ila na ya mwanaume naitaka.

Niko zangu chattle nazoom baraza jipya nawaza huyu kigogo mbona siku hizi hatupi info kabla kama zamani, huu mkeka si ibilibidi tuujuwe siku mbili kabla? Inashangaza sana. Huyu jamaa kastaafu kazi?
 
Umeongea point sana,umetumia akili kubwa kufanya hii analysis.Watu watabisha lakini huu ndiyo ukweli mchungu mimi mtaani ninako ishi kuna idadi ya kutisha ya SINGLE MOTHERS na wanazidi kutengenezwa wengi tu.Tena umesahau katika harakati zao za kutafuta mwanaume kitega uchumi anaye mjali huwa ni wateja wakubwa wa waganga wa kienyeji,wanawake kwa uchawi ni mahodari sana.Halafu hawajiulizi wanaroga sana halafu ndoa zao nazo zinaharibika sana
 
Imeandikwa kwenye Vitabu vya Dini mwanaume ndio kiongozi wa mwanamke.
IMG_20220108_085113.jpg
 
Back
Top Bottom