Cowman
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 1,715
- 3,158
- Thread starter
- #21
Nimefanya kwa Dar tu na kuangalia pia waliotoka mikoani kuja kutafuta maisha Dar.Jamaa unafeli asilimia kubwa ya watu wa mikoank wana watoto, hii inatokana na hulka ya watu wa mikoank kuanza kujihusisha na mapenzi mapema sana na kupelekea kupata mimba...CC Kasulu, Kibondo, Kigoma, Ngara, Bukoba, Shinyanga, Dodoma, etc