Asilimia kubwa ya wasichana wa Dar wenye elimu kuanzia Std 1 - 5 wana watoto

Jamaa unafeli asilimia kubwa ya watu wa mikoank wana watoto, hii inatokana na hulka ya watu wa mikoank kuanza kujihusisha na mapenzi mapema sana na kupelekea kupata mimba...CC Kasulu, Kibondo, Kigoma, Ngara, Bukoba, Shinyanga, Dodoma, etc
Nimefanya kwa Dar tu na kuangalia pia waliotoka mikoani kuja kutafuta maisha Dar.
 
-"zaeni mkaijaze dunia"
-"nyie fyatueni tu elimu bure"-
-nimepewa bure na mimi natoa bure"
-"kila mtoto huja na riziki yake"
 
Naam
 
Wanawake wengi sasa wamejawa na tamaa wanataka kuishi maisha ambayo sio yao maisha ya instagram hivyo mwisho wasiku huishia kudandia wanaume za watu wenye mafanikio kwa tamaa zao
Naam
 
Hiyo smartphone ukimpa tu hesabu maumivu.
Ni mwendo wa kutumiana video za vikojoleo vyao mwanzo mwisho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…