Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakoloni walitukuta hivi na ilikuwa kawaida kabisa kutembea utupu...iweje leo tuwapigie kelele dada zetu wakijiachia na vimini au bikini au ndo kusema dini tuliyoletewa imetubadilisha sana na kuona asili yetu haifai??
mmmmm wala siombei turudi huko. Leornard na wewe paka mweusi mnataka kubaka???
Enzi zile naamini mababu zetu walikuwa hawana tamaa, na walikuwa wameshajizoelea kukaa utupu.
Ahahaaaaaaahhh!!!!!Baba hujasoma jina langu vizuri,naitwa Mtakatifu Paka Mweusi.
Wakoloni walitukuta hivi na ilikuwa kawaida kabisa kutembea utupu...iweje leo tuwapigie kelele dada zetu wakijiachia na vimini au bikini au ndo kusema dini tuliyoletewa imetubadilisha sana na kuona asili yetu haifai??
Hivyo si vitambi. Nadhani ni mama waja wazito. Angalia madume yalivyo fit katika picha ya tatu. Hamna kitambi hapo.kumbe vitambi vimeanza zamani eh?