Mtu asiyefunga mwezi wa Ramadhan huitwa KOBE. Swali: nini asili ya jina hili? Kuna uhusiano gani kati ya asiyefunga na mnyama kobe? Kwa nini asingeitwa NGURUWE kabisa kwasababu mnyama huyo ni mlafi na ni haramu?
Nadhani k/sbb labda wasiofunga, hasa wale wasiotaka kuonekana kuwa hawajafunga, hula kwa kujifichaficha km afanyavyo kobe. Kobe anaweza kula huku kichwa chake kikiwa ndani ya gamba lake, na hivyo kutoweza kuonekana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.