Askar wetu..hata kubadili uniform tuu shida...

Askar wetu..hata kubadili uniform tuu shida...

Bobcheka

Member
Joined
Oct 17, 2013
Posts
61
Reaction score
58
Kazi na dawa
 

Attachments

  • 1382072175885.jpg
    1382072175885.jpg
    43 KB · Views: 2,121
Anajipooza na chochote

Hapo anasema kazi tumezikuta,na tutaziacha
Raha jipe mwenyewe usingoje kupewa

Kama Mwema kaibiwa Upanga wa Dhahabu
sasa yeye ana kosa gani .......
 
Hawa jamaa tamaa za pesa zitawafikisha Pabaya,yaani kaz kuombaomba vijisent kwa Drivers,then pesa yote kwenye Urabuuu!
 
Kweli. Pesa za kuombaomba na usiyoitolea Jasho haikai mkononi.
 
Back
Top Bottom