BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Kamanda wa Polisi wa Kaunti ya Kisumu, Alphonse Wambua amesema Koplo Ben Oduor, alikimbizwa katika chumba cha wagonjwa mahututi (ICU) katika Hospitali ya Aga Khan saa 10 jioni na kufariki wakati akipata matibabu.
Afisa huyo kutoka katika Kituo cha Polisi cha Keroka katika Kaunti ya Nyamira, alikuwa akilinda amani eneo la Jamia Supermarket ambapo alizidiwa na waandamanaji ambao walimshambulia kwa mateke.
Muungano wa Azimio la Umoja One ukiongozwa na Raila Odinga umekuwa ukiendesha maandamano Nchini humo kwa madai ya kupinga Gharama kuwa za maisha na Mabadiliko ndani ya Tume ya Uchaguzi IEBC.
==============
A police officer has succumbed to injuries he sustained during anti-government protests that took place in Kisumu County’s Juakali area on Thursday.
Corporal Ben Oduor, who was stationed at Keroka Police Station in Nyamira County, was keeping the peace around Jamia Supermarket area when he was overwhelmed by protesters who viciously descended upon him with kicks and blows.
Confirming the incident, Kisumu County Police Commander Alphonse Wambua told Citizen Digital that the injured officer was rushed to the Aga Khan Hospital’s Intensive Care Unit at around 10pm but he unfortunately passed away while receiving treatment.
The deceased’s body is currently lying at the institution’s morgue pending post-mortem.