Mitambo ilibidi iuzwe baada ya kugundua mtaalamu aliyetefemewa kushindwa kumaliza matatizo madogo tu ya kiufundi.So who is the owner of AfricaSwahili niliskia ni sallam
Lkn huyu siyo yule wa Nape. Yule wa Nape bado kijana lkn huyu kmilometa zimesonga sana.
Ila wabongo sie kwa kutunga lol unkiangalia vizuri jamaa aliweka alitoa mkono mgukoni lengo ni kutaka kumshika mtuhumiwa hata alipogeuka utaona shati yake imekunjana na mkanda wa suruali kuweni makini na hisia zenu
Huyu askali ni mpuuzi kweli kweli, yaani katoa kitu kabisa na kumuwekea Davis. Nadhani tusihusishe na Makonda au serikali, hilo ni suala la maadili ya mtu binafsi. Nadhani dunia nzima imeona jinsi askali wetu wasivyokuwa na maadili
Kwani hapo Mosha kabambikiziwa kesi gani?
Halafu nahisi kama hawapo sawa na usikute bomanyee ndio kamchongea kwa bashiteDavis aliingia kichwa kichwa baada ya kukutana na mtaalamu wa social media networks. Aliinvest hela nyingi kuanzisha Swahili TV. Baada ya Mitambo kufika ndipo alipogundua mtaalamu aligraduate kutoka local library of Brooklyn.
Hawako sawa ni kweli, Davis amezindukaHalafu nahisi kama hawapo sawa na usikute bomanyee ndio kamchongea kwa bashite
Nilihisi hiki kitu bomanyee hampaishi tena mosha ingekuwa enzi zao sasa hivi angeshatoa tamkoHawako sawa ni kweli, Davis amezinduka
Mosha alijua nae le kiba100 amesoma kma mzee malecela,kumbe baharia wa kupika kwenye meliMitambo ilibidi iuzwe baada ya kugundua mtaalamu aliyetefemewa kushindwa kumaliza matatizo madogo tu ya kiufundi.
Mosha hakutakiwa kureact vile,kwanza getini wangeacha majina yao baada ya kuonyesha vitambulisho,wakati huko camera ya CCTV ikiwachukua audio visual,then wangeelekezwa ofisini kwa boss,angewapokea ofisini,sio yeye kuwafuata,na angewasikiliza kwa ustaarabu mle,again I lazima camera iwepo ya kurekodi Maneno na vidio,kama ushahidi ukihitajika.Kwanini uzuie Maafisa Uhamiaji kufanya kazi zao Kama huna tatizo?
Anampaisha Bashite angalau kule anauhakika wa mdomo kwenda kinywaniNilihisi hiki kitu bomanyee hampaishi tena mosha ingekuwa enzi zao sasa hivi angeshatoa tamko
Vitambulisho muhimu kuonyesha,tena kama mlinzi yuko makini,lazima avihakikishe kimoja kimoja na kuviscan,ili kama ni fake ID,Hivi sheria zinasemaje!? Hawatakiwi wawe na vitambulisho hawa,!? Hawatakiwi wavioneshe kabla ya kufanya chochote!? Hwatakiwi wawe na search warranty!? Au mimi ndo sielewi!? Kama walikuwa navyo vyote hivyo imekuaje kuaje mpaka wakaanza kushikana mashati na huyo Mosha!?
Acha kukurupuka wewe! Nimeandika "...unaona wazi ANATOA MKONO MFUKONI!"Yaani na wewe unathubutu kabisa kusema UNAONA WAZI. kazi kweli kweli.
Hahahaha eti local library of BrooklynDavis aliingia kichwa kichwa baada ya kukutana na mtaalamu wa social media networks. Aliinvest hela nyingi kuanzisha Swahili TV. Baada ya Mitambo kufika ndipo alipogundua mtaalamu aligraduate kutoka local library of Brooklyn.