rushanju
JF-Expert Member
- Nov 3, 2011
- 3,238
- 5,106
Wakati wa shambulio la Bw. Hamza, tumeona watu wengine kwenye eneo la tukio wakidhani Hamza ni Askari. Hii imekuwa kawaida kuwavalisha Askari wetu nguo za kawaida harafu mnawapa bunduki.
Inasemekana mmoja wa Askari alijeruhiwa na Askari wenzie maana alikwa na bunduki bila ya sare. Juzi nimekutana na Askari pale Muhimbili mortuary akiwa kavaa kiajabu sana lkn mkononi ana Said Maulid (SMG) nikajiuliza maswali mengi sana, sikupata jawabu.
Inapotokea kwenye mashambulizi kama like la juzi, si mtazibuna wenyewe kwa wenyewe? Jukumu la ulinzi pia ni letu sisi kama raia.
Sasa tutajuaje huu upuuzi. Ikitokea piga nikupige kama ya juzi nami niko jirani na shotgun yangu nawe ukanipita jirani na SMG bila nguo si nakufumua tu. Wazee wa Intelijensia naomba mjitathimini sana
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Inasemekana mmoja wa Askari alijeruhiwa na Askari wenzie maana alikwa na bunduki bila ya sare. Juzi nimekutana na Askari pale Muhimbili mortuary akiwa kavaa kiajabu sana lkn mkononi ana Said Maulid (SMG) nikajiuliza maswali mengi sana, sikupata jawabu.
Inapotokea kwenye mashambulizi kama like la juzi, si mtazibuna wenyewe kwa wenyewe? Jukumu la ulinzi pia ni letu sisi kama raia.
Sasa tutajuaje huu upuuzi. Ikitokea piga nikupige kama ya juzi nami niko jirani na shotgun yangu nawe ukanipita jirani na SMG bila nguo si nakufumua tu. Wazee wa Intelijensia naomba mjitathimini sana
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app