Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ina maana wazee hampokei tarehe mosi kama polisi na jwtzSiku hizi hatuelewi kuna shida gani, askari Magereza huwa wanapokea posho zao tar 15 ya kila mwezi ila hadi ni tar 20 posho bado.
Sasa haieleweki posho hizo watalipwa lini sasa wanaishi kwa matumaini. Lazima tutafute mbinu za kuishi kama tuna tegemea askari magereza tuliowakopesha bidhaa kwenye maduka yetu.
Awamu ya 5 ili vuruga tarehe zote, polisi tar 30, magereza tar 15 sasa hizo tarehe watu hawalipwi kama ilivyo ahidiwa. imekuwa tofauti sana. haya leo tar 20 hamna posho hata.Ina maana wazee hampokei tarehe mosi kama polisi na jwtz
Awamu ya 5 ilifuta zote hamnaga tena I wish apatikane Rais ambaye ataturejeshea hayo maduka maana yalikuwa yanatuma unafuu wa kununua vitu na kupata mahitaji ya nyumbani.Mkuu vipi poleni nasikia hata yale maduka yenu ya duty free jwtz,Polisi,Magereza Uhamiaji na Zimamoto awamu ya tano iliyafuta nimeshangaa sana.Ndio mjitoe mhanga sasa mtafuteni mchawi wenu mvunjeni mkono kama mlivyomvunja Halima mdee, maana nasikia nyie hamchezewi
Huwezi kumfanya mtu asitoe au asionyeshe hisia zake hapo ndio utamsoma na kumuelewa vizuriWe nawe unaonekana askari lialia sana ndio maana wengine huku mtaani wana hasira kusubiri tarehe 28oct. wafanye maamuzi magumu
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
wewe unao huo uzalendo si ajabu unaishi kwa pesa za wizi ndio maana unasema hivyo, matumbo yetu na maisha ya familia iweje tule wapi kama mmeshindwa semeni yametushinda au lipeni posho acheni dhihaka.Kuweni wazalendo tunaleta ndege 5 na tunamalizia Stigler's gorge tukikamalisha hayo mtapata haki yenu.
Usikubali kutumika na mabeberu.
Kua mzalendo afande,ndege 5 soon zinaingia.wewe unao huo uzalendo si ajabu unaishi kwa pesa za wizi ndio maana unasema hivyo, matumbo yetu na maisha ya familia iweje tule wapi kama mmeshindwa semeni yametushinda au lipeni posho acheni dhihaka.
Imetoka tangu jumatatu, bado package tuSiku hizi hatuelewi kuna shida gani, askari Magereza huwa wanapokea posho zao tar 15 ya kila mwezi ila hadi ni tar 20 posho bado.
Sasa haieleweki posho hizo watalipwa lini sasa wanaishi kwa matumaini. Lazima tutafute mbinu za kuishi kama tuna tegemea askari magereza tuliowakopesha bidhaa kwenye maduka yetu.
Mkuu, ninaomba kukushauri kitu kimoja hapa.Siku hizi hatuelewi kuna shida gani, askari Magereza huwa wanapokea posho zao tar 15 ya kila mwezi ila hadi ni tar 20 posho bado.
Sasa haieleweki posho hizo watalipwa lini sasa wanaishi kwa matumaini. Lazima tutafute mbinu za kuishi kama tuna tegemea askari magereza tuliowakopesha bidhaa kwenye maduka yetu.
Nasubiri wake zenu waanze kuja kukopa walahi sitawaaacha maana mnajifanya wajuaji kuvunja wenzenu mikono !! Hasa yule mwenye mke muuza chapati kekoSiku hizi hatuelewi kuna shida gani, askari Magereza huwa wanapokea posho zao tar 15 ya kila mwezi ila hadi ni tar 20 posho bado.
Sasa haieleweki posho hizo watalipwa lini sasa wanaishi kwa matumaini. Lazima tutafute mbinu za kuishi kama tuna tegemea askari magereza tuliowakopesha bidhaa kwenye maduka yetu.