road master
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 2,064
- 3,021
Posho ilikua 150000/ sasa awamu hii wakakurupuka kupeleka 300000/ sasa wanashindwa zilikua mbio za sakafuniAwamu ya 5 ili vuruga tarehe zote, polisi tar 30, magereza tar 15 sasa hizo tarehe watu hawalipwi kama ilivyo ahidiwa. imekuwa tofauti sana. haya leo tar 20 hamna posho hata.
Njaaa haina baunsaTangu lini makamanda wakalialia jikazeni tu twende sawa mbona sisi tushazoea mpka mwisho wa mwezi na nyie mshindwe mna nini
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
wewe si ulisema umestaafu? Ukawa unalilia mafao yako au wakupe ht Nauli? vp umepata cheo kipya huko Magereza?Siku hizi hatuelewi kuna shida gani, askari Magereza huwa wanapokea posho zao tar 15 ya kila mwezi ila hadi ni tar 20 posho bado.
Sasa haieleweki posho hizo watalipwa lini sasa wanaishi kwa matumaini. Lazima tutafute mbinu za kuishi kama tuna tegemea askari magereza tuliowakopesha bidhaa kwenye maduka yetu.
Kabisa mkuu njaa haina baunsaNjaaa haina baunsa
Siku hizi hatuelewi kuna shida gani, askari Magereza huwa wanapokea posho zao tar 15 ya kila mwezi ila hadi ni tar 20 posho bado.
Sasa haieleweki posho hizo watalipwa lini sasa wanaishi kwa matumaini. Lazima tutafute mbinu za kuishi kama tuna tegemea askari magereza tuliowakopesha bidhaa kwenye maduka yetu.
Askari hamnaga akili nyie form 4 failure nyie! Na asiwalipe kabisa maana fungu tumulipeleka kwenye kampeni za chama!Awamu ya 5 ilifuta zote hamnaga tena I wish apatikane Rais ambaye ataturejeshea hayo maduka maana yalikuwa yanatuma unafuu wa kununua vitu na kupata mahitaji ya nyumbani.
Weeeeeeeeeeeeeeeeee ishia huko hukoHivi kwa nini hamtaki kuamini kuwa CCM ni tatizo?
Halafu kumbe wewe huwa ni askari magereza, eh? Ndio maana post zako zinahusu majeshi
Yaani kukosekana posho kwa siku tano unasema wameshindwa. Ila kweli we nyang'au wa ajabu.Posho ilikua 150000/ sasa awamu hii wakakurupuka kupeleka 300000/ sasa wanashindwa zilikua mbio za sakafuni
Una cha kukopwa mkuu?Nasubiri wake zenu waanze kuja kukopa walahi sitawaaacha maana mnajifanya wajuaji kuvunja wenzenu mikono !! Hasa yule mwenye mke muuza chapati keko