Elections 2010 Askari Magereza walaamurishwa kuhudhuria kampeni za Jk

Elections 2010 Askari Magereza walaamurishwa kuhudhuria kampeni za Jk

nsami

Senior Member
Joined
Jun 11, 2010
Posts
175
Reaction score
8
Jana nilikuwa maeneo ya shinyanga, nilibahatika kuhudhuria mkutano wa kampeni wa Dr Slaa! Pembeni yangu kuna jamaa flani tunabadilishana mawazo kuhusu hali ya siasa huku tukisubir Dr kuanza kumwaga sera.

Baada ya mazungumzo akanipa alichoita siri kuwa "nakwambia ndugu yangu, siku alipokuja JK askari wote pamoja na wafungwa wanaokaribia kumaliza muda wao tuliamuriwa kuvaa kiraia ili tuhudhurie mkutanoni" alisema kwa Dr Slaa hawakupata amri hiyo!
 
Hayo yote ni ya kweli, CCM wanafanya hayo mambo kama kawaida. Katika mashule na hata ofisi za serikali..
 
Hizo ndizo fitina za kisiasa!rafu za kijinga,tutafika kweli!
 
jana nilikuwa maeneo ya shinyanga, nilibahatika kuhudhuria mkutano wa kampeni wa dr slaa! Pembeni yangu kuna jamaa flani tunabadilishana mawazo kuhusu hali ya siasa huku tukisubir dr kuanza kumwaga sera.

Baada ya mazungumzo akanipa alichoita siri kuwa "nakwambia ndugu yangu, siku alipokuja jk askari wote pamoja na wafungwa wanaokaribia kumaliza muda wao tuliamuriwa kuvaa kiraia ili tuhudhurie mkutanoni" alisema kwa dr slaa hawakupata amri hiyo!

Kwa hiyo wamepata msamaha wa rais hawa?
 
Kwa hiyo wamepata msamaha wa rais hawa?

Sio kama wamepata msamaha, ila inaaminika kuwa wafungwa wa muda mrefu wanao karibia kumaliza muda wao hawawezi kutoroka kwa sababu adhabu watakayokabiliwa nayo ni kubwa kuliko kubaki na kumalizia kifungo chao.
 
Ama kweli, hawa mabwana wana mbinu nyingi za kushinda. Safari hii tutazaa nao mapacha
 
Back
Top Bottom