T The Evil Genius JF-Expert Member Joined Mar 21, 2014 Posts 6,017 Reaction score 19,506 Sep 21, 2024 #41 Jerry001 said: Trafiki tu hawana uwezo wa kuongea kimombo fluent, ndio maana wakikutana na mzungu au raia wa kigeni wanaishia kumpungia tu mkono sembuse mgambo. Waache porojo Click to expand... Nimeshangaa kweli eti ngambo awe fluent kwenye kimombo😂
Jerry001 said: Trafiki tu hawana uwezo wa kuongea kimombo fluent, ndio maana wakikutana na mzungu au raia wa kigeni wanaishia kumpungia tu mkono sembuse mgambo. Waache porojo Click to expand... Nimeshangaa kweli eti ngambo awe fluent kwenye kimombo😂
D Double N JF-Expert Member Joined May 18, 2018 Posts 290 Reaction score 550 Sep 23, 2024 #42 300k before tax, nhif, nssf appx unaondoka na 240k as take home per month
Rusumo one JF-Expert Member Joined Oct 4, 2018 Posts 3,458 Reaction score 4,283 Sep 23, 2024 #43 MamaSamia2025 said: Mgambo hatuheshimiki kabisa hadi mishahara yetu inaanikwa hadharani. Ina maana sisi mgambo hatuna zile scale sijui TGTS D au C? Click to expand... Ninyi mnajilipa kwa kukamata chinga na kujikwapulia masufuria ya mama ntilie hata msipolipwa sawa tu
MamaSamia2025 said: Mgambo hatuheshimiki kabisa hadi mishahara yetu inaanikwa hadharani. Ina maana sisi mgambo hatuna zile scale sijui TGTS D au C? Click to expand... Ninyi mnajilipa kwa kukamata chinga na kujikwapulia masufuria ya mama ntilie hata msipolipwa sawa tu