Askari Polisi Afa Maji Akimkimbiza Mtuhumiwa

Mijitu inalaumu sijui askari kutumia nguvu badala ya akili
Badala ya kumuombea apumzuke shujaa wetu mnazungunza ujinga tu. Huyo afande alikua kwenye majukumu ya kulinda raia na amekubali kuhatarisha maisha yake kwa ajili yetu. Mkumbuke ziwa lina mamba lakini askari kaingia kumfuata mtuhumiwa.
Na sababu ni kunaswa na nyavu hata ujue kuogelea vipi ukinaswa na nyavyu chini ya maji hutoki.
Naomba jeshi la poliso limtafute huyo mtuhumiwa kwa nguvu na akili zote na akipatikana apigwe risasi tu sio wa kumkamata mzima mzimaL]
 
Apumzike salama, ameumaliza mwendo akiwa katika Majukumu yake akika anastahili pongezi japo atunae tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…