Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani kiliondoka na mafuriko ya rushwa.Hivi sasa kizazi cha askari wa aina ile sjui kimepotelea wapi
Hongera kwa kuhave sweet kibabu! Am sure kibabu sio kibamia... Maana sio kwa kuwa proud naye hivi... 😀😀😀Sana tu na sina shida ya kibabu maana nnacho tayari [emoji4]
Hahahaaaa aseeee wewe si umeniita kibibi?Hongera kwa kuhave sweet kibabu! Am sure kibabu sio kibamia... Maana sio kwa kuwa proud naye hivi... 😀😀😀
Sigara hapa namba 1 mahamoud nyalusi 2 suleiman mkati 3 aziz nyoni "njalambaya" 4 Peter Lucas kaka yake George lucas "gazza" aliekuwa anachezea simba 5 maarufu yassin 6 muscut said 7 rashid mmanga 8 abdallah sumbwa 9 gebo peter 10 muhidin sisso 11 shabban anania, kocha mkuu marehemu mansur magram hiyo mwaka 1988 mkuu.Mkama Sharp umenikumbusha mbali hasa shamba la bibi ikiwa inacheza Yanga na Sigara ya akina Marehemu Joseph Katuba (RIP)
Maneno yako mazuri. MashaallahNadhani kiliondoka na mafuriko ya rushwa.
AbassiSigara hapa namba 1 mahamoud nyalusi 2 suleiman mkati 3 aziz nyoni "njalambaya" 4 Peter Lucas kaka yake George lucas "gazza" aliekuwa anachezea simba 5 maarufu yassin 6 muscut said 7 rashid mmanga 8 abdallah sumbwa 9 gebo peter 10 muhidin sisso 11 shabban anania, kocha mkuu marehemu mansur magram hiyo mwaka 1988 mkuu.
Hebu nitajiye team list wa 1988 ya nyota nyukundu, bia (pilsner)Sigara hapa namba 1 mahamoud nyalusi 2 suleiman mkati 3 aziz nyoni "njalambaya" 4 Peter Lucas kaka yake George lucas "gazza" aliekuwa anachezea simba 5 maarufu yassin 6 muscut said 7 rashid mmanga 8 abdallah sumbwa 9 gebo peter 10 muhidin sisso 11 shabban anania, kocha mkuu marehemu mansur magram hiyo mwaka 1988 mkuu.
Nasikia wengi wa wachezaji hawa wamefariki. Je ni kweli hii!?Sigara hapa namba 1 mahamoud nyalusi 2 suleiman mkati 3 aziz nyoni "njalambaya" 4 Peter Lucas kaka yake George lucas "gazza" aliekuwa anachezea simba 5 maarufu yassin 6 muscut said 7 rashid mmanga 8 abdallah sumbwa 9 gebo peter 10 muhidin sisso 11 shabban anania, kocha mkuu marehemu mansur magram hiyo mwaka 1988 mkuu.
Huyu alishakuwa akaachana na JF miaka sita iliyopitaHebu nitajiye team list wa 1988 ya nyota nyukundu, bia (pilsner)