Askari Polisi aliyevuma sana miaka 90. RIP Mkama Sharp

Askari Polisi aliyevuma sana miaka 90. RIP Mkama Sharp

Hivi sasa kizazi cha askari wa aina ile sjui kimepotelea wapi
 
Mkama Sharp umenikumbusha mbali hasa shamba la bibi ikiwa inacheza Yanga na Sigara ya akina Marehemu Joseph Katuba (RIP)
Sigara hapa namba 1 mahamoud nyalusi 2 suleiman mkati 3 aziz nyoni "njalambaya" 4 Peter Lucas kaka yake George lucas "gazza" aliekuwa anachezea simba 5 maarufu yassin 6 muscut said 7 rashid mmanga 8 abdallah sumbwa 9 gebo peter 10 muhidin sisso 11 shabban anania, kocha mkuu marehemu mansur magram hiyo mwaka 1988 mkuu.
 
Sigara hapa namba 1 mahamoud nyalusi 2 suleiman mkati 3 aziz nyoni "njalambaya" 4 Peter Lucas kaka yake George lucas "gazza" aliekuwa anachezea simba 5 maarufu yassin 6 muscut said 7 rashid mmanga 8 abdallah sumbwa 9 gebo peter 10 muhidin sisso 11 shabban anania, kocha mkuu marehemu mansur magram hiyo mwaka 1988 mkuu.
Abassi
Umenikumbusha mbali sana. Mashaallah
 
Sigara hapa namba 1 mahamoud nyalusi 2 suleiman mkati 3 aziz nyoni "njalambaya" 4 Peter Lucas kaka yake George lucas "gazza" aliekuwa anachezea simba 5 maarufu yassin 6 muscut said 7 rashid mmanga 8 abdallah sumbwa 9 gebo peter 10 muhidin sisso 11 shabban anania, kocha mkuu marehemu mansur magram hiyo mwaka 1988 mkuu.
Hebu nitajiye team list wa 1988 ya nyota nyukundu, bia (pilsner)
 
Sigara hapa namba 1 mahamoud nyalusi 2 suleiman mkati 3 aziz nyoni "njalambaya" 4 Peter Lucas kaka yake George lucas "gazza" aliekuwa anachezea simba 5 maarufu yassin 6 muscut said 7 rashid mmanga 8 abdallah sumbwa 9 gebo peter 10 muhidin sisso 11 shabban anania, kocha mkuu marehemu mansur magram hiyo mwaka 1988 mkuu.
Nasikia wengi wa wachezaji hawa wamefariki. Je ni kweli hii!?
 
Hebu nitajiye team list wa 1988 ya nyota nyukundu, bia (pilsner)
Huyu alishakuwa akaachana na JF miaka sita iliyopita

1734383947759.png
 
Back
Top Bottom