Askari Polisi bandia aitwae Son, ageuka gumzo wilayani Sengerema jijini Mwanza kwa kuwatapeli Madereva wa vyombo vya moto

Askari Polisi bandia aitwae Son, ageuka gumzo wilayani Sengerema jijini Mwanza kwa kuwatapeli Madereva wa vyombo vya moto

cleokippo

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2014
Posts
2,118
Reaction score
1,797
Kijana mmoja almaarufu kwa jina la SON mkazi wa Sengerema jijini Mwanza amekuwa gumzo kwa wakazi wa wilaya hiyo kwa kujifanya askari wa jeshi la polisi.

Kijana huyo mwenye mtandao mkubwa wa marafiki ambao ni ma askari amekuwa akitumia fursa hiyo ya kujuana na ma askari na yeye kujifanya askari.

Kijana huyo amekuwa kero sana hasa kwa madereva wa vyombo vya moto kwasababu amekuwa akiwakamata sana na kuwabambikizia makosa ili tu aweze kuachiwa chochote kitu.

SON! Amekuwa akiwabambikizia watu makosa mbele ya askari wa jeshi la polis wa usalama barabarani uku askari hao wakimuangalia tu ili baadae apeleke hesabu kwa askari hao.

Kijana huyu hatari amekuwa akijihusisha pia kuwatapel watu wenye matatizo pale polisi kwa madai kwamba yeye anauwezo mkubwa wa kuwatatulia changamoto zao kwakuwa tu maaskari wengi pale kituoni anafahamiana nao.

Hivyo basi serikali immulike huyu kijana ikibaini tu uharamia anaoufanya imchukulie hatua kali za kinidhamu kwani kitendo anachokifanya ni kudhalilisha jeshi la polisi. SON, anapatikana sana Nyatukala stand ndogo ya Geita wilayani Sengerema.

Kuanzi asubuh mpaka jua linazama yeye ni kufanya tu utapel kwa madereva wa vyombo vya moto

HITIMISHO: A skari wa jeshi la polisi wilaya ya Sengerema acheni kutumika vibaya na huyo kijana Almaarufu kwa jina la SON

Kufanya hivyo ni kukiuka maadili ya jeshi la polis
 
kamanda kaza spana hapohapo naona wameshaaza kutoa upepo
 
Nimeandika kwa maskitiko makubwa sana....!!

Nikiwa kama miongon mwa raia wema, nimeandika kwa niaba ya madereva na wamiliki wa vyombo vya moto wilayan bisa kutumia hao matapel akina SON kupoka haki za madereva & wamiliki wa vyombo vya moto
Mchomesheni na Hela za moto.
 
Nimeandika kwa maskitiko makubwa sana....!!

Nikiwa kama miongon mwa raia wema, nimeandika kwa niaba ya madereva na wamiliki wa vyombo vya moto wilayan sengerema,

Lengo la uzi huu ni kutoa malalamiko kwa serikali ya mama SSH kummulika kwa jicho la tatu mkuu wa usalama barabarani wa wilaya ya sengerema kwa kukiuka maadili ya jeshi la polisi kwa kufanyakazi na watu wanaosadikika ni matapeli

Mkuu huyo wa jeshi la usalama barabarani amekuwa akimtumia chawa wake kuwabambikizia watu makosa na kuchukua rushwa kisha kugawana

Chawa huyo almaarufu kwa jina la SON huwa anapatikana sana maeneneo nyatukala ( stand ndogo ya kuelekea Geita katika wilaya ya sengerema

Chawa huyo mara kwa mara huonekana akikamata magar , bajaj na bodaboda uku DTO akiwa pemben anaangalia hesabu inayopatikana kutoka kwa chawa huyo hali inayopelekea wakaz wengi wa sengerema kuhoj kulikon DTO afanye kazi na yule tapel (SON)

baadhi ya wakazi wengine wanaamin kama yule chawa ni askar hali inayopelekea akiwatisha kidogo tu huwa wanamuachia chochote

Hivyo bas nikiwa kama mwana sengerema narudia tena serikali ummulike DTO wa sengerema na ikithibitika kama ni kwel bas imchukulie hatua kali za kinidham kwan anachofanya ni kinyume na maadili ya jeshi la polis

HITIMISHO: DTO wilaya ya sengerema, acha kabisa kutumia hao matapel akina SON kupoka haki za madereva & wamiliki wa vyombo vya moto
 
Kijana mmoja almaarufu kwa jina la SON mkazi wa sengerema jijin Mwanza amekuwa gumzo kwa wakazi wa wilaya hiyo kwa kujifanya askar wa jeshi la polisi
Wakiiona hii watajifanya ndio wanaamka,mazoea mabaya ya kazi
 
Wakiiona hii watajifanya ndio wanaamka,mazoea mabaya ya kazi
Huyu jamaa ni kero sana kwakwel,
Akikaa kijuwen anajisifia kwamba ma askar wanampa sana maisha kutoka a na kile anachokifanya
 
Huyo dawa yake aparamie JOKA hasa la TPDF ndio atajua hajui.. shida huko napo pamekaa kushoto MAJOKA sio mengi..

Watu kama hao ni watamu sana wakiingia ktk mfumo.
 
Kijana mmoja almaarufu kwa jina la SON mkazi wa sengerema jijin Mwanza amekuwa gumzo kwa wakazi wa wilaya hiyo kwa kujifanya askar wa jeshi la polisi


Kufanya hivyo ni kukiuka maadili ya jeshi la polis
Anavaa sare za Jeshi la Polisi?
 
Huyu jamaa ni kero sana kwakwel,
Akikaa kijuwen anajisifia kwamba ma askar wanampa sana maisha kutoka a na kile anachokifanya
Huyo dogo atakuwa kapitia mafunzo ya mgambo MG na askari kuanzia ngazi ya Kata wanawatumia sana kama askari jamii kuziba gap la uchache wa askari polisi kwenye kata mbalimbali nchini. Kemea matendo yake ambayo ni nje ya utaratibu wa kazi kama askari jamii.
 
Kijana mmoja almaarufu kwa jina la SON mkazi wa sengerema jijin Mwanza amekuwa gumzo kwa wakazi wa wilaya hiyo kwa kujifanya askar wa jeshi la polisi

Kijan
Hivi Waziri wa Mambo ya Ndani na IGP hawana account humu? Kwa nini wasimwige Dkt. Gwajima D.?
 
Mama alishasema kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake
 
Hivi Waziri wa Mambo ya Ndani na IGP hawana account humu? Kwa nini wasimwige Dkt. Gwajima D.?
Ilitakiwa wawe nayo sababu hii taarifa ni muhimu sana

Jamaa anawaumiza sana wananchi uku, mbaya zaid wananchi hawana pa kusemea sababu janaa anakula na polis
 
Sisi wakulima tupo safe,

Kuna watu wanajifanya polisi, mara usalama mara , wajeda ili mradi tu vurugu tupu.

Ila tunashukuru hakuna anayejifanya mkulima.
Ingekuwaje wangejifanya wakulima?
 
Back
Top Bottom