Askari Polisi gani mwenye nidhamu, utu na Weledi kama ACP Theopista Mallya?

Askari Polisi gani mwenye nidhamu, utu na Weledi kama ACP Theopista Mallya?

dubu

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2011
Posts
3,502
Reaction score
3,483
Askari Polisi gani mwenye utu na Weredi kama ACP Theopista Mallya?

Shikamoo Afande

ACP Theopista Mallya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Rukwa, naamini ni moja ya toleo bora la Askari Polisi tunaojivunia.

Aliwahi kuwa Msaidizi wa Mkuu wa Trafiki Tanzania Staff Officer Mnadhimu wa Polisi Makao Makuu.

Msikivu sana.. Si muongeaji sana bali Vitendo ndo vinaongea. Wakati nafuatilia kwanini hajateuliwa kuwa Mkuu wa Trafiki Tanzania baada ya Musilimu kuwa Kamanda wa Mkoa Morogoro sikupata jibu. Sababu kazi nyingi za Trafiki Tanzania alizifanya. Achilia mbali alipokuwa Makao Makuu ya Polisi.

Mtu alokuwa anatatua changomoto za Nchi nzima unampeleka kusimamia Mkoa mmoja? Alikuanadhimu wa Polisi Makao Makuu anadeal na Polisi Nchi nzima leo unampa asimamie Mkoa mmoja tena Rukwa. Na Rukwa alipelekwa kama kaimu akafanya kazi nzuri kama kawaida yake wakampa Ukamanda Mkuu. Sio kazi ndogo Polisi Mwanamke kufikia alipo na wote tunajua jeshi letu.

Alikuwa Msaidizi wa Mkuu wa Matrafiki Tanzania.

Sasa wakati nafuatilia kama kuna kitu kakosea au ana mapungufu gani hadi asipewe nafasi zinazomsitahili sioni. Hii ni kuharibu nguvu kazi kwa manufaa ya Wachache. Watoa Rushwa wanamchukia sana.

Ninachojua anachukia Rushwa.

Katika kumfuatilia mtandaoni nikakutana hili andiko linalomuelezea. Hili ni andiko la hawa jamaa RSA TANZANIA(Road Safety Ambassadors). Hawa ndo Jicho la Trafiki Tanzania sababu wametapakaa nchi nzima. Polisi na Madeva wa Tanzania nzima na wadau wa Usalama Barabarani. Wasome hapa ndo utamjua ACP Theopista Mallya japo kwa Uchache. Hakika anafaa kuwa mkuu wa Usalama Barabarani Tanzania. Sababu hawa wote watampa Ushirikiano. Wananchi wape wanachokitaka. Tanzania kwanza.

IMG_20221028_155754_348.jpg

Hapa chini ni chapisho la May 20,2019 lilioandikwa na RSA TANZANIA.

KILA LA HERI AFANDE ACP T T Mallya KAMA STAFF OFFICER MPYA KINONDONI


Traffic Makao Makuu Uliitendea Haki.
Sijui mahala sahihi pa kuanzia, lakini naweza kusema kwa hakika kabisa kuwa katika watu waliowahi kutupatia ushirikiano mkubwa sana sisi RSA Tanzania katika hii kazi ya Usalama Barabarani basi ni wewe Mama yetu afande T.T. Mallya.

Kwamara ya kwanza nilikufahamu Geita wakati wa wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani. Nawe kwa wakti huo ndio kwanza ulikuwa umefika Kinondoni kama RTO. Katika siku ile nilipata kufanya presentation mbele ya RTOs kuhusu RSA. Wewe ni kati ya watu uliouliza maswali, lakini pia ulituomba jambo. Na hapa ninakumbuka ulisema hivi, “…RSA msaidie kuelimisha watu kuhusu matumizi ya daraja la kimara… Tangu wakati huu, haukuwahi kutuacha.

Na niseme kwa hakika kabisa hicho kiti ulichokuwa umekali hapo traffic kuu uliyeweka kuziba gepu lake tangu aondoke hapo afande SACP Johansen Kahatano, ni wewe.

Kati ya sifa zako na alama unazoziacha tutakazokukumbuka nazo ni:

1. Usikivu (listening)
Una uwezo mkubwa wa kumsikiliza mtu tena kwa utaratibu sana na kutoa hukumu au maamuzi

2. Umadhubuti (boldness)
Mtu akikusikiliza kwenye simu hizi tu au akukute unaomngea sehemu anaweza sema wee ni leissez faire, sana lakini ajaribu aone ndipo atagundua kuwa uko very firm. Haupendi mtu akutambuke tambuke hovyo. Kila anayedeal na wewe lazima ajue mipaka yake na amaintain hiyo mipaka.

3. Haki (fairness)
Siku zote umekuwa mtu wa kupenda kusimamia haki bila kujali kwamba anayehusika ni mtu anayekuhusu

4. Mwitikio wa haraka(quick response)
Wewe hata ukiwa likizo utapokea simu na kutoa maelekezo. Nakumbuka kuna wakati ulisema wambieni watu nipo likizo. Maana simu zilizidi. Lakini ulikuw amstahimilivu.

5. Ulitupenda(love)
Kwa sisi humu ndani wanarsa tunaweza kukiri bila shaka kabisa kwamba ulitupenda, na ndio maana hujawahi kutoka humu, lakini pia hata sometimes tulikuwa tunajoke humu. Na upendo huu umzidi kujidhirisha kwa kutuaga.

6. *Urasimu*bureaucracy)
Japokuwa urasimu ni sehemu muhimu ya uendeshaji wa ofisi, urasimu nao ukizidi sana huzorotesha kazi(inefficiency). Wewe hukuwa na urasimu uio na sababu.

7. Weledi (Professionalism)
Mama hakika kichwani uko njema tu, unao uwezo wa kudapta haraka sana kulingana na mazingira na wakati. Yaani hata ungepelekwa kikosi gani sasa hivi, naamini utafanya vema tu sababu una-uwezo mkubwa sana wa kuadopt. Charles Darwin aliweka nadharia ya surivival of the fittest, lakini Herbet Spencer akaongeza kwamba * It Is Not the Strongest of the Species that Survives But the Most Adaptable. Nami nakuweka katika kundi la the most adaptable.

Kila la heri mama yetu, dada yetu afande T.T. Mallya katika majukumu yako mapya. Pale tulipokwazana tusameheane. Nasi tunakuahisi kuendelea kushirikiana na wewe kokote utakakokuwa. Tunamsubiri yeye ajaye ili tushirikiane naye huku tukiamini ataendeleza ushirikiano.

RSAadmin1
RSA Tanzania.
Usalama Barabarani ni Jukumu Letu Sote.
Mwisho.

Theopista Mallya ndo Mkuu wa Trafiki ajaye.
 
Teo ameamua kujipgia chapuo ili ale daraja la mseleleko toka acp to cp kisha ale kitengo.

Afande tuliza boli kwanza, angamiza majambazi wote na trafiki wala rushwa.

Kwanini useme anajipiga debe? Siku hizo mazuri ya mtu marufuku kusema? Nyie mdo mnasubiri mtu afe ndo mseme alikuwa mtu mzuri. Unasema anajipigia debe alikuambia kajisajili JF? Huoni umavunja Sheria za JamiiForums kwa kufanya name calling?.

Mimi nimesema anafaa kuwa mkuu wa Usalama Barabarani sababu ametumia nafasi ya Msaidizi wa Mkuu wa Usalama Barabarani tena Staff one kwa muda mrefu.

Amekuua Mnadhimu wa Polisi Makao Makuu. Na nafasi zote amezitumkia kwa uaminifu, weredi na bila Shuruti. Kama unaona hafai au ana makando kando yaseme hapa(Nimekupa mtihani).

Tuwatie moyo Polisi wetu wanaofanya Vizuri kama KAMISHNA KAGANDA. Watu wa kanda ya ziwa hampendi kuona Mwanamke anapiga hatua ya Uongozi
 
Askari Polisi gani mwenye utu na Weredi kama ACP Theopista Mallya?

Shikamoo Afande

ACP Theopista Mallya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Rukwa, naamini ni moja ya toleo bora la Askari Polisi tunaojivunia.

Aliwahi kuwa Msaidizi wa Mkuu wa Trafiki Tanzania Staff Officer Mnadhimu wa Polisi Makao Makuu.

Msikivu sana.. Si muongeaji sana bali Vitendo ndo vinaongea. Wakati nafuatilia kwanini hajateuliwa kuwa Mkuu wa Trafiki Tanzania baada ya Musilimu kuwa Kamanda wa Mkoa Morogoro sikupata jibu. Sababu kazi nyingi za Trafiki Tanzania alizifanya. Achilia mbali alipokuwa Makao Makuu ya Polisi.

Mtu alokuwa anatatua changomoto za Nchi nzima unampeleka kusimamia Mkoa mmoja? Alikuanadhimu wa Polisi Makao Makuu anadeal na Polisi Nchi nzima leo unampa asimamie Mkoa mmoja tena Rukwa. Na Rukwa alipelekwa kama kaimu akafanya kazi nzuri kama kawaida yake wakampa Ukamanda Mkuu. Sio kazi ndogo Polisi Mwanamke kufikia alipo na wote tunajua jeshi letu.

Alikuwa Msaidizi wa Mkuu wa Matrafiki Tanzania.

Sasa wakati nafuatilia kama kuna kitu kakosea au ana mapungufu gani hadi asipewe nafasi zinazomsitahili sioni. Hii ni kuharibu nguvu kazi kwa manufaa ya Wachache. Watoa Rushwa wanamchukia sana.

Ninachojua anachukia Rushwa.

Katika kumfuatilia mtandaoni nikakutana hili andiko linalomuelezea. Hili ni andiko la hawa jamaa RSA TANZANIA(Road Safety Ambassadors). Hawa ndo Jicho la Trafiki Tanzania sababu wametapakaa nchi nzima. Polisi na Madeva wa Tanzania nzima na wadau wa Usalama Barabarani. Wasome hapa ndo utamjua ACP Theopista Mallya japo kwa Uchache. Hakika anafaa kuwa mkuu wa Usalama Barabarani Tanzania. Sababu hawa wote watampa Ushirikiano. Wananchi wape wanachokitaka. Tanzania kwanza.
View attachment 2400533
Hapa chini ni chapisho la May 20,2019 lilioandikwa na RSA TANZANIA.

KILA LA HERI AFANDE ACP T T Mallya KAMA STAFF OFFICER MPYA KINONDONI


Traffic Makao Makuu Uliitendea Haki.
Sijui mahala sahihi pa kuanzia, lakini naweza kusema kwa hakika kabisa kuwa katika watu waliowahi kutupatia ushirikiano mkubwa sana sisi RSA Tanzania katika hii kazi ya Usalama Barabarani basi ni wewe Mama yetu afande T.T. Mallya.

Kwamara ya kwanza nilikufahamu Geita wakati wa wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani. Nawe kwa wakti huo ndio kwanza ulikuwa umefika Kinondoni kama RTO. Katika siku ile nilipata kufanya presentation mbele ya RTOs kuhusu RSA. Wewe ni kati ya watu uliouliza maswali, lakini pia ulituomba jambo. Na hapa ninakumbuka ulisema hivi, “…RSA msaidie kuelimisha watu kuhusu matumizi ya daraja la kimara… Tangu wakati huu, haukuwahi kutuacha.

Na niseme kwa hakika kabisa hicho kiti ulichokuwa umekali hapo traffic kuu uliyeweka kuziba gepu lake tangu aondoke hapo afande SACP Johansen Kahatano, ni wewe.

Kati ya sifa zako na alama unazoziacha tutakazokukumbuka nazo ni:

1. Usikivu (listening).
Una uwezo mkubwa wa kumsikiliza mtu tena kwa utaratibu sana na kutoa hukumu au maamuzi

2. Umadhubuti (boldness)
Mtu akikusikiliza kwenye simu hizi tu au akukute unaomngea sehemu anaweza sema wee ni leissez faire, sana lakini ajaribu aone ndipo atagundua kuwa uko very firm. Haupendi mtu akutambuke tambuke hovyo. Kila anayedeal na wewe lazima ajue mipaka yake na amaintain hiyo mipaka.

3. Haki (fairness)
Siku zote umekuwa mtu wa kupenda kusimamia haki bila kujali kwamba anayehusika ni mtu anayekuhusu

4. Mwitikio wa haraka(quick response)
Wewe hata ukiwa likizo utapokea simu na kutoa maelekezo. Nakumbuka kuna wakati ulisema wambieni watu nipo likizo. Maana simu zilizidi. Lakini ulikuw amstahimilivu.

5. Ulitupenda(love)
Kwa sisi humu ndani wanarsa tunaweza kukiri bila shaka kabisa kwamba ulitupenda, na ndio maana hujawahi kutoka humu, lakini pia hata sometimes tulikuwa tunajoke humu. Na upendo huu umzidi kujidhirisha kwa kutuaga.

6. *Urasimu*bureaucracy)
Japokuwa urasimu ni sehemu muhimu ya uendeshaji wa ofisi, urasimu nao ukizidi sana huzorotesha kazi(inefficiency). Wewe hukuwa na urasimu uio na sababu.

7. Weledi (Professionalism)
Mama hakika kichwani uko njema tu, unao uwezo wa kudapta haraka sana kulingana na mazingira na wakati. Yaani hata ungepelekwa kikosi gani sasa hivi, naamini utafanya vema tu sababu una-uwezo mkubwa sana wa kuadopt. Charles Darwin aliweka nadharia ya surivival of the fittest, lakini Herbet Spencer akaongeza kwamba * It Is Not the Strongest of the Species that Survives But the Most Adaptable. Nami nakuweka katika kundi la the most adaptable.

Kila la heri mama yetu, dada yetu afande T.T. Mallya katika majukumu yako mapya. Pale tulipokwazana tusameheane. Nasi tunakuahisi kuendelea kushirikiana na wewe kokote utakakokuwa. Tunamsubiri yeye ajaye ili tushirikiane naye huku tukiamini ataendeleza ushirikiano.

RSAadmin1
RSA Tanzania.
Usalama Barabarani ni Jukumu Letu Sote.
Mwisho.

Theopista Mallya ndo Mkuu wa Trafiki ajaye.
acha utoto bhana unamharibia tu dada wa watu . unamwandika humu jamvini ili iweje?
ziache mamlaka zifanye kazi ghaaaaa wewe upo je
 
acha utoto bhana unamharibia tu dada wa watu . unamwandika humu jamvini ili iweje?
ziache mamlaka zifanye kazi ghaaaaa wewe upo je
Acha watu wanaofanya vizuri watambulike. Hawezi chukua nafasi ya baba yako usiogope. Kumbukumbu nzuri acha iwe kwenye maandishi. Vizazi vitamsoma hata kama hutaki afahamike. Una nidhamu ya uoga. Pole sana. Hongera Mallya
 
Yupo chama gani? Na mbona hujaweka no yake ya simu ili sisi watu wa Vetting tumuingize katika kitengo!
 
Yataonekana mazuri yake Wala hayana Haja ya kuyapigia promo. Si unajua debe tupu,si unajua mtu asiye na hela,si unajua mtu asiyejua kitu kiundani ndio wapiga kelele Kama debe tupu. Hii thread ya Pili naiona inampigia chapuo.

Vinginevyo ana wivu umemkaa kooni kisa Cha Susan kaganda.
Na Hawa wanaompigia chapuo ndio wanaomharibia kabisa
 
Askari Polisi gani mwenye utu na Weredi kama ACP Theopista Mallya?

Shikamoo Afande

ACP Theopista Mallya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Rukwa, naamini ni moja ya toleo bora la Askari Polisi tunaojivunia.

Aliwahi kuwa Msaidizi wa Mkuu wa Trafiki Tanzania Staff Officer Mnadhimu wa Polisi Makao Makuu.

Msikivu sana.. Si muongeaji sana bali Vitendo ndo vinaongea. Wakati nafuatilia kwanini hajateuliwa kuwa Mkuu wa Trafiki Tanzania baada ya Musilimu kuwa Kamanda wa Mkoa Morogoro sikupata jibu. Sababu kazi nyingi za Trafiki Tanzania alizifanya. Achilia mbali alipokuwa Makao Makuu ya Polisi.

Mtu alokuwa anatatua changomoto za Nchi nzima unampeleka kusimamia Mkoa mmoja? Alikuanadhimu wa Polisi Makao Makuu anadeal na Polisi Nchi nzima leo unampa asimamie Mkoa mmoja tena Rukwa. Na Rukwa alipelekwa kama kaimu akafanya kazi nzuri kama kawaida yake wakampa Ukamanda Mkuu. Sio kazi ndogo Polisi Mwanamke kufikia alipo na wote tunajua jeshi letu.

Alikuwa Msaidizi wa Mkuu wa Matrafiki Tanzania.

Sasa wakati nafuatilia kama kuna kitu kakosea au ana mapungufu gani hadi asipewe nafasi zinazomsitahili sioni. Hii ni kuharibu nguvu kazi kwa manufaa ya Wachache. Watoa Rushwa wanamchukia sana.

Ninachojua anachukia Rushwa.

Katika kumfuatilia mtandaoni nikakutana hili andiko linalomuelezea. Hili ni andiko la hawa jamaa RSA TANZANIA(Road Safety Ambassadors). Hawa ndo Jicho la Trafiki Tanzania sababu wametapakaa nchi nzima. Polisi na Madeva wa Tanzania nzima na wadau wa Usalama Barabarani. Wasome hapa ndo utamjua ACP Theopista Mallya japo kwa Uchache. Hakika anafaa kuwa mkuu wa Usalama Barabarani Tanzania. Sababu hawa wote watampa Ushirikiano. Wananchi wape wanachokitaka. Tanzania kwanza.
View attachment 2400533
Hapa chini ni chapisho la May 20,2019 lilioandikwa na RSA TANZANIA.

KILA LA HERI AFANDE ACP T T Mallya KAMA STAFF OFFICER MPYA KINONDONI


Traffic Makao Makuu Uliitendea Haki.
Sijui mahala sahihi pa kuanzia, lakini naweza kusema kwa hakika kabisa kuwa katika watu waliowahi kutupatia ushirikiano mkubwa sana sisi RSA Tanzania katika hii kazi ya Usalama Barabarani basi ni wewe Mama yetu afande T.T. Mallya.

Kwamara ya kwanza nilikufahamu Geita wakati wa wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani. Nawe kwa wakti huo ndio kwanza ulikuwa umefika Kinondoni kama RTO. Katika siku ile nilipata kufanya presentation mbele ya RTOs kuhusu RSA. Wewe ni kati ya watu uliouliza maswali, lakini pia ulituomba jambo. Na hapa ninakumbuka ulisema hivi, “…RSA msaidie kuelimisha watu kuhusu matumizi ya daraja la kimara… Tangu wakati huu, haukuwahi kutuacha.

Na niseme kwa hakika kabisa hicho kiti ulichokuwa umekali hapo traffic kuu uliyeweka kuziba gepu lake tangu aondoke hapo afande SACP Johansen Kahatano, ni wewe.

Kati ya sifa zako na alama unazoziacha tutakazokukumbuka nazo ni:

1. Usikivu (listening).
Una uwezo mkubwa wa kumsikiliza mtu tena kwa utaratibu sana na kutoa hukumu au maamuzi

2. Umadhubuti (boldness)
Mtu akikusikiliza kwenye simu hizi tu au akukute unaomngea sehemu anaweza sema wee ni leissez faire, sana lakini ajaribu aone ndipo atagundua kuwa uko very firm. Haupendi mtu akutambuke tambuke hovyo. Kila anayedeal na wewe lazima ajue mipaka yake na amaintain hiyo mipaka.

3. Haki (fairness)
Siku zote umekuwa mtu wa kupenda kusimamia haki bila kujali kwamba anayehusika ni mtu anayekuhusu

4. Mwitikio wa haraka(quick response)
Wewe hata ukiwa likizo utapokea simu na kutoa maelekezo. Nakumbuka kuna wakati ulisema wambieni watu nipo likizo. Maana simu zilizidi. Lakini ulikuw amstahimilivu.

5. Ulitupenda(love)
Kwa sisi humu ndani wanarsa tunaweza kukiri bila shaka kabisa kwamba ulitupenda, na ndio maana hujawahi kutoka humu, lakini pia hata sometimes tulikuwa tunajoke humu. Na upendo huu umzidi kujidhirisha kwa kutuaga.

6. *Urasimu*bureaucracy)
Japokuwa urasimu ni sehemu muhimu ya uendeshaji wa ofisi, urasimu nao ukizidi sana huzorotesha kazi(inefficiency). Wewe hukuwa na urasimu uio na sababu.

7. Weledi (Professionalism)
Mama hakika kichwani uko njema tu, unao uwezo wa kudapta haraka sana kulingana na mazingira na wakati. Yaani hata ungepelekwa kikosi gani sasa hivi, naamini utafanya vema tu sababu una-uwezo mkubwa sana wa kuadopt. Charles Darwin aliweka nadharia ya surivival of the fittest, lakini Herbet Spencer akaongeza kwamba * It Is Not the Strongest of the Species that Survives But the Most Adaptable. Nami nakuweka katika kundi la the most adaptable.

Kila la heri mama yetu, dada yetu afande T.T. Mallya katika majukumu yako mapya. Pale tulipokwazana tusameheane. Nasi tunakuahisi kuendelea kushirikiana na wewe kokote utakakokuwa. Tunamsubiri yeye ajaye ili tushirikiane naye huku tukiamini ataendeleza ushirikiano.

RSAadmin1
RSA Tanzania.
Usalama Barabarani ni Jukumu Letu Sote.
Mwisho.

Theopista Mallya ndo Mkuu wa Trafiki ajaye.
Hongera Kwa andiko zuri umeeleweka.


Tatizo watz wavivu wa kusoma. Ila ingekuwa connection Hata Masaa mawili lazima wamalize kuangalia
 
Yataonekana mazuri yake Wala hayana Haja ya kuyapigia promo. Si unajua debe tupu,si unajua mtu asiye na hela,si unajua mtu asiyejua kitu kiundani ndio wapiga kelele Kama debe tupu. Hii thread ya Pili naiona inampigia chapuo.

Vinginevyo ana wivu umemkaa kooni kisa Cha Susan kaganda.
Na Hawa wanaompigia chapuo ndio wanaomharibia kabisa
Watanzania kuna tatizo kichwani. Mtu akiandikwa mazuri yake mnanuna eti anajaribiwa. Yaani kumpongeza mtu na kutoa ushuhuda wa mazuri yake ni kumharibia? Basi kazi ipo. Subiri watakaoleta habari za uzushi uongo na kumchafua ili useme hawamharibii. Kama kumpongeza na kutambua kazi ya mtu ni kumharibia, basi nitamharibia hadi naingia kaburini
 
Watanzania kuna tatizo kichwani. Mtu akiandikwa mazuri yake mnanuna eti anajaribiwa. Yaani kumpongeza mtu na kutoa ushuhuda wa mazuri yake ni kumharibia? Basi kazi ipo. Subiri watakaoleta habari za uzushi uongo na kumchafua ili useme hawamharibii. Kama kumpongeza na kutambua kazi ya mtu ni kumharibia, basi nitamharibia hadi naingia kaburini
Sio watanzania tu Bali Ni nature ya ubongo wa binadamu
 
Sio watanzania tu Bali Ni nature ya ubongo wa binadamu
Yaani Ubongo wao umekaa tayari kuona mabaya ya mtu ili nafsi zifurahi. Huyu Afande hata akiacha leo upolisi nitaemdelea kimheshimu na kumpigia saluti. Ateuliwe au asteuliwe. Nimeshampitisha. Walijua kumpeleka Rukwa hatutamuona. Awe Dar, kiembe samaki, Nangurukuru au Kabanga, nyota yake inang'aa.

Hii aione mkuu wangu wa kazi bosi manyota LESIRIAMU
 
Hahaha machawa
Watanzania wanapenda kusema mabaya ya watu. Huyu ni Polisi, Polisi ni kazi ya Lawama. Kaa uone kama kuna mtu atasema Teo alinitendea baya ndo ulaumu. Tuseme nimehonga Watanzania wote wasimuumbue? Huyu ni mtu wa watu nchi nzima. Amekaa barabarani akiwa msaidizi wa Mkuu wa Usalama Barabarani Tanzania huku anaongoza Magari Ubungo, mwenge, Bibi Titi Buguruni Veta na Tazara bila kujali cheo chake. Ulishaombwa Rushwa? Ulishaonewa? Alishakutukana? Sasa kuna baya gani kumsifia? Kumbuka alikuwa staff one msaidizi wa Mkuu wa Trafiki Tanzania na Mnadhimu Mkuu Makao Makuu. Sema baya lake. Unadhani ni rahisi kujitunza mbele ya midume iliyo kama mbwa mwitu? Sema baya lake hadi tuache kumsifia kama unalo, lakini usikataze watu kuongea ukweli
 
Askari Polisi gani mwenye utu na Weredi kama ACP Theopista Mallya?

Shikamoo Afande

ACP Theopista Mallya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Rukwa, naamini ni moja ya toleo bora la Askari Polisi tunaojivunia.

Aliwahi kuwa Msaidizi wa Mkuu wa Trafiki Tanzania Staff Officer Mnadhimu wa Polisi Makao Makuu.

Msikivu sana.. Si muongeaji sana bali Vitendo ndo vinaongea. Wakati nafuatilia kwanini hajateuliwa kuwa Mkuu wa Trafiki Tanzania baada ya Musilimu kuwa Kamanda wa Mkoa Morogoro sikupata jibu. Sababu kazi nyingi za Trafiki Tanzania alizifanya. Achilia mbali alipokuwa Makao Makuu ya Polisi.

Mtu alokuwa anatatua changomoto za Nchi nzima unampeleka kusimamia Mkoa mmoja? Alikuanadhimu wa Polisi Makao Makuu anadeal na Polisi Nchi nzima leo unampa asimamie Mkoa mmoja tena Rukwa. Na Rukwa alipelekwa kama kaimu akafanya kazi nzuri kama kawaida yake wakampa Ukamanda Mkuu. Sio kazi ndogo Polisi Mwanamke kufikia alipo na wote tunajua jeshi letu.

Alikuwa Msaidizi wa Mkuu wa Matrafiki Tanzania.

Sasa wakati nafuatilia kama kuna kitu kakosea au ana mapungufu gani hadi asipewe nafasi zinazomsitahili sioni. Hii ni kuharibu nguvu kazi kwa manufaa ya Wachache. Watoa Rushwa wanamchukia sana.

Ninachojua anachukia Rushwa.

Katika kumfuatilia mtandaoni nikakutana hili andiko linalomuelezea. Hili ni andiko la hawa jamaa RSA TANZANIA(Road Safety Ambassadors). Hawa ndo Jicho la Trafiki Tanzania sababu wametapakaa nchi nzima. Polisi na Madeva wa Tanzania nzima na wadau wa Usalama Barabarani. Wasome hapa ndo utamjua ACP Theopista Mallya japo kwa Uchache. Hakika anafaa kuwa mkuu wa Usalama Barabarani Tanzania. Sababu hawa wote watampa Ushirikiano. Wananchi wape wanachokitaka. Tanzania kwanza.
View attachment 2400533
Hapa chini ni chapisho la May 20,2019 lilioandikwa na RSA TANZANIA.

KILA LA HERI AFANDE ACP T T Mallya KAMA STAFF OFFICER MPYA KINONDONI


Traffic Makao Makuu Uliitendea Haki.
Sijui mahala sahihi pa kuanzia, lakini naweza kusema kwa hakika kabisa kuwa katika watu waliowahi kutupatia ushirikiano mkubwa sana sisi RSA Tanzania katika hii kazi ya Usalama Barabarani basi ni wewe Mama yetu afande T.T. Mallya.

Kwamara ya kwanza nilikufahamu Geita wakati wa wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani. Nawe kwa wakti huo ndio kwanza ulikuwa umefika Kinondoni kama RTO. Katika siku ile nilipata kufanya presentation mbele ya RTOs kuhusu RSA. Wewe ni kati ya watu uliouliza maswali, lakini pia ulituomba jambo. Na hapa ninakumbuka ulisema hivi, “…RSA msaidie kuelimisha watu kuhusu matumizi ya daraja la kimara… Tangu wakati huu, haukuwahi kutuacha.

Na niseme kwa hakika kabisa hicho kiti ulichokuwa umekali hapo traffic kuu uliyeweka kuziba gepu lake tangu aondoke hapo afande SACP Johansen Kahatano, ni wewe.

Kati ya sifa zako na alama unazoziacha tutakazokukumbuka nazo ni:

1. Usikivu (listening).
Una uwezo mkubwa wa kumsikiliza mtu tena kwa utaratibu sana na kutoa hukumu au maamuzi

2. Umadhubuti (boldness)
Mtu akikusikiliza kwenye simu hizi tu au akukute unaomngea sehemu anaweza sema wee ni leissez faire, sana lakini ajaribu aone ndipo atagundua kuwa uko very firm. Haupendi mtu akutambuke tambuke hovyo. Kila anayedeal na wewe lazima ajue mipaka yake na amaintain hiyo mipaka.

3. Haki (fairness)
Siku zote umekuwa mtu wa kupenda kusimamia haki bila kujali kwamba anayehusika ni mtu anayekuhusu

4. Mwitikio wa haraka(quick response)
Wewe hata ukiwa likizo utapokea simu na kutoa maelekezo. Nakumbuka kuna wakati ulisema wambieni watu nipo likizo. Maana simu zilizidi. Lakini ulikuw amstahimilivu.

5. Ulitupenda(love)
Kwa sisi humu ndani wanarsa tunaweza kukiri bila shaka kabisa kwamba ulitupenda, na ndio maana hujawahi kutoka humu, lakini pia hata sometimes tulikuwa tunajoke humu. Na upendo huu umzidi kujidhirisha kwa kutuaga.

6. *Urasimu*bureaucracy)
Japokuwa urasimu ni sehemu muhimu ya uendeshaji wa ofisi, urasimu nao ukizidi sana huzorotesha kazi(inefficiency). Wewe hukuwa na urasimu uio na sababu.

7. Weledi (Professionalism)
Mama hakika kichwani uko njema tu, unao uwezo wa kudapta haraka sana kulingana na mazingira na wakati. Yaani hata ungepelekwa kikosi gani sasa hivi, naamini utafanya vema tu sababu una-uwezo mkubwa sana wa kuadopt. Charles Darwin aliweka nadharia ya surivival of the fittest, lakini Herbet Spencer akaongeza kwamba * It Is Not the Strongest of the Species that Survives But the Most Adaptable. Nami nakuweka katika kundi la the most adaptable.

Kila la heri mama yetu, dada yetu afande T.T. Mallya katika majukumu yako mapya. Pale tulipokwazana tusameheane. Nasi tunakuahisi kuendelea kushirikiana na wewe kokote utakakokuwa. Tunamsubiri yeye ajaye ili tushirikiane naye huku tukiamini ataendeleza ushirikiano.

RSAadmin1
RSA Tanzania.
Usalama Barabarani ni Jukumu Letu Sote.
Mwisho.

Theopista Mallya ndo Mkuu wa Trafiki ajaye.
Huyu mama mbampamba bure tu Kwa vile hamjafika Mkoani Rukwa. Mpaka mnasema ana utu wakati ni mpendeleji mkubwa wa mashemeji zake ofisini? Utu upi alionao Theopister? Askari anafiwa Mtoto ananyimwa gari kupeleka maiti kwao anasafirisha Kwa Tax?
Msifuni Kwa hayo mengine lakini Kiongozi mbinafsi asiyejali shida na Ustawi wa anaowaongoza hawezi kuitwa ana UTU labda kama siku hizi kuna maana nyingine ya neno utu.
 
Askari Polisi gani mwenye utu na Weredi kama ACP Theopista Mallya?

Shikamoo Afande

ACP Theopista Mallya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Rukwa, naamini ni moja ya toleo bora la Askari Polisi tunaojivunia.

Aliwahi kuwa Msaidizi wa Mkuu wa Trafiki Tanzania Staff Officer Mnadhimu wa Polisi Makao Makuu.

Msikivu sana.. Si muongeaji sana bali Vitendo ndo vinaongea. Wakati nafuatilia kwanini hajateuliwa kuwa Mkuu wa Trafiki Tanzania baada ya Musilimu kuwa Kamanda wa Mkoa Morogoro sikupata jibu. Sababu kazi nyingi za Trafiki Tanzania alizifanya. Achilia mbali alipokuwa Makao Makuu ya Polisi.

Mtu alokuwa anatatua changomoto za Nchi nzima unampeleka kusimamia Mkoa mmoja? Alikuanadhimu wa Polisi Makao Makuu anadeal na Polisi Nchi nzima leo unampa asimamie Mkoa mmoja tena Rukwa. Na Rukwa alipelekwa kama kaimu akafanya kazi nzuri kama kawaida yake wakampa Ukamanda Mkuu. Sio kazi ndogo Polisi Mwanamke kufikia alipo na wote tunajua jeshi letu.

Alikuwa Msaidizi wa Mkuu wa Matrafiki Tanzania.

Sasa wakati nafuatilia kama kuna kitu kakosea au ana mapungufu gani hadi asipewe nafasi zinazomsitahili sioni. Hii ni kuharibu nguvu kazi kwa manufaa ya Wachache. Watoa Rushwa wanamchukia sana.

Ninachojua anachukia Rushwa.

Katika kumfuatilia mtandaoni nikakutana hili andiko linalomuelezea. Hili ni andiko la hawa jamaa RSA TANZANIA(Road Safety Ambassadors). Hawa ndo Jicho la Trafiki Tanzania sababu wametapakaa nchi nzima. Polisi na Madeva wa Tanzania nzima na wadau wa Usalama Barabarani. Wasome hapa ndo utamjua ACP Theopista Mallya japo kwa Uchache. Hakika anafaa kuwa mkuu wa Usalama Barabarani Tanzania. Sababu hawa wote watampa Ushirikiano. Wananchi wape wanachokitaka. Tanzania kwanza.
View attachment 2400533
Hapa chini ni chapisho la May 20,2019 lilioandikwa na RSA TANZANIA.

KILA LA HERI AFANDE ACP T T Mallya KAMA STAFF OFFICER MPYA KINONDONI


Traffic Makao Makuu Uliitendea Haki.
Sijui mahala sahihi pa kuanzia, lakini naweza kusema kwa hakika kabisa kuwa katika watu waliowahi kutupatia ushirikiano mkubwa sana sisi RSA Tanzania katika hii kazi ya Usalama Barabarani basi ni wewe Mama yetu afande T.T. Mallya.

Kwamara ya kwanza nilikufahamu Geita wakati wa wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani. Nawe kwa wakti huo ndio kwanza ulikuwa umefika Kinondoni kama RTO. Katika siku ile nilipata kufanya presentation mbele ya RTOs kuhusu RSA. Wewe ni kati ya watu uliouliza maswali, lakini pia ulituomba jambo. Na hapa ninakumbuka ulisema hivi, “…RSA msaidie kuelimisha watu kuhusu matumizi ya daraja la kimara… Tangu wakati huu, haukuwahi kutuacha.

Na niseme kwa hakika kabisa hicho kiti ulichokuwa umekali hapo traffic kuu uliyeweka kuziba gepu lake tangu aondoke hapo afande SACP Johansen Kahatano, ni wewe.

Kati ya sifa zako na alama unazoziacha tutakazokukumbuka nazo ni:

1. Usikivu (listening).
Una uwezo mkubwa wa kumsikiliza mtu tena kwa utaratibu sana na kutoa hukumu au maamuzi

2. Umadhubuti (boldness)
Mtu akikusikiliza kwenye simu hizi tu au akukute unaomngea sehemu anaweza sema wee ni leissez faire, sana lakini ajaribu aone ndipo atagundua kuwa uko very firm. Haupendi mtu akutambuke tambuke hovyo. Kila anayedeal na wewe lazima ajue mipaka yake na amaintain hiyo mipaka.

3. Haki (fairness)
Siku zote umekuwa mtu wa kupenda kusimamia haki bila kujali kwamba anayehusika ni mtu anayekuhusu

4. Mwitikio wa haraka(quick response)
Wewe hata ukiwa likizo utapokea simu na kutoa maelekezo. Nakumbuka kuna wakati ulisema wambieni watu nipo likizo. Maana simu zilizidi. Lakini ulikuw amstahimilivu.

5. Ulitupenda(love)
Kwa sisi humu ndani wanarsa tunaweza kukiri bila shaka kabisa kwamba ulitupenda, na ndio maana hujawahi kutoka humu, lakini pia hata sometimes tulikuwa tunajoke humu. Na upendo huu umzidi kujidhirisha kwa kutuaga.

6. *Urasimu*bureaucracy)
Japokuwa urasimu ni sehemu muhimu ya uendeshaji wa ofisi, urasimu nao ukizidi sana huzorotesha kazi(inefficiency). Wewe hukuwa na urasimu uio na sababu.

7. Weledi (Professionalism)
Mama hakika kichwani uko njema tu, unao uwezo wa kudapta haraka sana kulingana na mazingira na wakati. Yaani hata ungepelekwa kikosi gani sasa hivi, naamini utafanya vema tu sababu una-uwezo mkubwa sana wa kuadopt. Charles Darwin aliweka nadharia ya surivival of the fittest, lakini Herbet Spencer akaongeza kwamba * It Is Not the Strongest of the Species that Survives But the Most Adaptable. Nami nakuweka katika kundi la the most adaptable.

Kila la heri mama yetu, dada yetu afande T.T. Mallya katika majukumu yako mapya. Pale tulipokwazana tusameheane. Nasi tunakuahisi kuendelea kushirikiana na wewe kokote utakakokuwa. Tunamsubiri yeye ajaye ili tushirikiane naye huku tukiamini ataendeleza ushirikiano.

RSAadmin1
RSA Tanzania.
Usalama Barabarani ni Jukumu Letu Sote.
Mwisho.

Theopista Mallya ndo Mkuu wa Trafiki ajaye.
Fanya kazi, usidhani kuja hapa mtandaoni na kujisifia mwenyewe utapandishwa cheo.
 
Back
Top Bottom