Askari Polisi gani mwenye nidhamu, utu na Weledi kama ACP Theopista Mallya?

Kwani we DUBU umepewa Sh. Ngapi kumpiga debe huyu mwana Mama?

Au wewe ndie Theopista mwenyewe?
Nimepigaje debe? Nimemsifia kwa utendaji wake mzuri. Kama nimekosea kusema mazuri yake naomba unisamehe
 
Hawa Wa-chaga bwana... mwezi wa 12 ukishakaribia mapepo ya "MBUZI" yanawaandama... hawaishi vituko!!!!!
 
Mchaga hawezi kupewa cheo nchi hii
 
Matakata kama Kingai wanapewa vivyeo lakini waadilifu hawa wanaachwa! Ccmbwa kabisa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…