Askari wa FFU wakicheza kwa kukata mauno Landrover Festival hawana ubaya na mtu raia mwema

Askari wa FFU wakicheza kwa kukata mauno Landrover Festival hawana ubaya na mtu raia mwema

Kama unalo tingishaaaa.... kale ka nyama katamu kananipa hamuuu..... utamu unakuja halafu unakataa.... kaona paja kadata..... kama hulitaki sabufa kalitoee.... kale katoto kana hatariii.... kimbaumbau katoto shangingiii.... una akili weweeee.....
 
Askari wa FFU wakicheza kwa kukata mauno Landrover Festival hawana ubaya na mtu raia mwema
Hawa jamaa hata niwaone katika mazingira gani, siwezi kusahau ni makatili, wauaji, wananuka damu na wanyama wasio na utu wala ubinadamu hata kidogo. Wasikudanganye kwa kukata mauno kama binadamu, sio watu hawa!
 
Back
Top Bottom