Askari wa FFU wakicheza kwa kukata mauno Landrover Festival hawana ubaya na mtu raia mwema

Askari wa FFU wakicheza kwa kukata mauno Landrover Festival hawana ubaya na mtu raia mwema

Hawa jamaa hata niwaone katika mazingira gani, siwezi kusahau ni makatili, wauaji, wananuka damu na wanyama wasio na utu wala ubinadamu hata kidogo. Wasikudanganye kwa kukata mauno kama binadamu, sio watu hawa!
Sio wote
 
Back
Top Bottom