Aaah wapi no utulivuTanzania nchi ya amani
Hawa jamaa hata niwaone katika mazingira gani, siwezi kusahau ni makatili, wauaji, wananuka damu na wanyama wasio na utu wala ubinadamu hata kidogo. Wasikudanganye kwa kukata mauno kama binadamu, sio watu hawa!Askari wa FFU wakicheza kwa kukata mauno Landrover Festival hawana ubaya na mtu raia mwema
Mmmm. Kukatika tena? Wakili wangu yuko likizo ninyamazeTanzania nchi ya amani
Au na wao waende gaza?Mmmm. Kukatika tena? Wakili wangu yuko likizo ninyamaze
Huyo Landrover mwenyewe anayajua hayo?Askari wa FFU wakicheza kwa kukata mauno Landrover Festival hawana ubaya na mtu raia mwema
View: https://youtu.be/nJd2S1yiYpU?si=mir2izshdjgKhTnE
Watajichafua kwenye surualiAu na wao waende gaza?
Mbona waliwajambisha tu wale wa msumbiji na kibiti wakaufyata ,kuna ambae alichafua suruali au wale wa msumbiji ndo walichafuaWatajichafua kwenye suluari
Ni hapa watanzania maskini kila kitu wamesahaulishwa!Askari wa FFU wakicheza kwa kukata mauno Landrover Festival hawana ubaya na mtu raia mwema
View: https://youtu.be/nJd2S1yiYpU?si=mir2izshdjgKhTnE