S Shotocan JF-Expert Member Joined Nov 21, 2023 Posts 6,650 Reaction score 12,711 Oct 15, 2024 Thread starter #21 Nikifa MkeWangu Asiolewe said: Yamkini huwezi amini hapo Kuna F za Kila aina. Wana Siri sana. Click to expand... F kote lakini siyo kwenye kupiga mtu wasogelee uone cha mtema kuni
Nikifa MkeWangu Asiolewe said: Yamkini huwezi amini hapo Kuna F za Kila aina. Wana Siri sana. Click to expand... F kote lakini siyo kwenye kupiga mtu wasogelee uone cha mtema kuni
Lovebird JF-Expert Member Joined Sep 27, 2012 Posts 6,383 Reaction score 9,337 Oct 15, 2024 #22 Wenzio wanapunguza stress ... wengine twawaza apo mashangazi wanagenyekaa
Teslarati JF-Expert Member Joined Nov 21, 2019 Posts 2,621 Reaction score 10,466 Oct 15, 2024 #23 Shotocan said: Askari wa FFU wakicheza kwa kukata mauno Landrover Festival hawana ubaya na mtu raia mwema View: https://youtu.be/nJd2S1yiYpU?si=mir2izshdjgKhTnE Click to expand... Nasikia mbupu imetembezwa sana huko
Shotocan said: Askari wa FFU wakicheza kwa kukata mauno Landrover Festival hawana ubaya na mtu raia mwema View: https://youtu.be/nJd2S1yiYpU?si=mir2izshdjgKhTnE Click to expand... Nasikia mbupu imetembezwa sana huko
H HUMAN ERROR JF-Expert Member Joined Sep 8, 2024 Posts 318 Reaction score 627 Oct 19, 2024 #24 Synthesizer said: Hawa jamaa hata niwaone katika mazingira gani, siwezi kusahau ni makatili, wauaji, wananuka damu na wanyama wasio na utu wala ubinadamu hata kidogo. Wasikudanganye kwa kukata mauno kama binadamu, sio watu hawa! Click to expand... Sio wote
Synthesizer said: Hawa jamaa hata niwaone katika mazingira gani, siwezi kusahau ni makatili, wauaji, wananuka damu na wanyama wasio na utu wala ubinadamu hata kidogo. Wasikudanganye kwa kukata mauno kama binadamu, sio watu hawa! Click to expand... Sio wote
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Oct 19, 2024 #25 Inapendeza sana... Cc: Mahondaw