Askari wa FFU wakicheza kwa kukata mauno Landrover Festival hawana ubaya na mtu raia mwema

Hawa jamaa hata niwaone katika mazingira gani, siwezi kusahau ni makatili, wauaji, wananuka damu na wanyama wasio na utu wala ubinadamu hata kidogo. Wasikudanganye kwa kukata mauno kama binadamu, sio watu hawa!
Sio wote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…