Askari wa kiume wa Jeshi la Magereza Tanzania wakiwa kazini

Ndio maana magu aliwanyima tenda ya kujenga nyumba zao wenyewe akawapa jw maana hayana akili
Kwahiyo unadhani jw wana akili[emoji1787][emoji1787]

Askari wote sawa tu wanafanya kazi kwa kusikiliza boss anataka nini kumfurahisha nani.

Kama hujajua hilo fatilia kilichotokea Mtwara wakati wamakonde wanakatalia gesi isiende Dsm

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aidha sijaelewa maudhui ya hicho kibonzo au in retrospect,hakisaidii misconception of a woman.
Playing down their political role as leaders and portraying them with such questions is actually victimizing them and not showing their strength
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…