wale wawili sawa aliyewaphotoa je ana kosa gani?na sura zao pia hazionekani vizuri wala namba zao za upolisi hazionekani vizuri isije kuwa wameonewaKatika utumishi wa umma kuna ethics zinaotakiwa kufuatwa ukizikiuka unaadhihiwa kwa mujibu wa kanuni za maadili na utumishi ukiukwaji wa kanuni za maadili adhabu yake ni kufukuzwa kazini iwapo askari hao walifanya hivyo na kama taratibu za kuwafukuza kazi zilifuatwa hao askari adhabu waliyopewa ndiyo stahili yao
matege hiyo chai umealikwa na jk ikulu nini haiishi nasuburi umwage nondo hapa
Kupiga picha unafanya mahaba huku umevaa uniform za jeshi ndo imewaponza.inaonekana badala ya kufanya kazi wao wanadendeka.hawajatupia wao ofcourse
Kupiga picha unafanya mahaba huku umevaa uniform za jeshi ndo imewaponza.inaonekana badala ya kufanya kazi wao wanadendeka.
Katika utumishi wa umma kuna ethics zinaotakiwa kufuatwa ukizikiuka unaadhihiwa kwa mujibu wa kanuni za maadili na utumishi ukiukwaji wa kanuni za maadili adhabu yake ni kufukuzwa kazini iwapo askari hao walifanya hivyo na kama taratibu za kuwafukuza kazi zilifuatwa hao askari adhabu waliyopewa ndiyo stahili yao
Vijana nendeni Jkt mtajua ethics za vyombo vya ulinzi na usalama.
kabisa mkuu onyo au mmoja angepelekwa mtwara yaani sio kama nawatetea ila kuna makosa makubwa polisi wanayafanya kama mauaji ya raia wema hawafukuzwi badala yake wanapandishwa vyeo,kapicha tu imekuwa nongwawalistahili kupewa onyo kwanza ni mtazamo tu kwani tech iko juu sana kwani kuna baadhi ya web site zimefungwa kwa sababu yaa adv of tech. na matumiz mabaya na kupost vtu vsivyo faa.