mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
wale askari waliopiga picha wakiwa kwenye nahaba mazito wamefukzwa kazi sasa swali
1.kwa kosa gani nakwa sheria gani
2.na aliyewapia naye ana kosa gani na kwa sheria gani
3.je askari anaruhusiwa kuvuta sigara ua kunywa pombe akiwa kwenye sare za jeshi
wataalamu karibuni mnisaidie
1.kwa kosa gani nakwa sheria gani
2.na aliyewapia naye ana kosa gani na kwa sheria gani
3.je askari anaruhusiwa kuvuta sigara ua kunywa pombe akiwa kwenye sare za jeshi
wataalamu karibuni mnisaidie