Askari wa Ukraine: Bakhmut ni kama Jehanamu

Askari wa Ukraine: Bakhmut ni kama Jehanamu

ICC ni Kwa ajili ya nchi ndogo ndogo,hawana uwezo wa kudeal na hizi giant countries!
Mfano uhalifu wa Bush huko Iraq na Afghan,ICC waliufyata!
Hiyo picha hapo chini ni POW wa Afghan waliokuwa mahabusu!
Hakuna aliyekuwa accountable!
View attachment 2533630
Nakumbuka sana hizi picha 2002-2003 nikitazama CNN zilikua zinanichefua sana na kunikosesha raha moyoni.

Sipendi mambo yanayotweza utu wa mtu kwa dhulma.
 
Ukrainian President Volodymyr Zelenskyy said he spoke with Karim Khan, prosecutor of the International Criminal Court, about "terrible crimes committed by the Russian occupiers on the territories of Ukraine."

No crime committed by Russian troops should go unpunished and "those guilty of them must be brought to justice," Zelenskyy said on his official Telegram channel, according to an NBC News translation.
=======================
ICC wanaendelea kukusanya ushahidi wa uhalifu wa Putin na genge lake, haki haina ukomo
Nakubaliana na wewe.
Kweli Urusi inaweza kushitakiwa ICC.
Lakini nakuhakikishia ikitokea hivyo ujue Marekani haitabaki huru juu ya uhalifu wa kivita ilioufanya Iraq,Syria,Libya,afghan,na kwingineko.
Bila Marekani kushitakiwa Zelensky atasubiri sana.
 
Ukraine sio mwanachama wa NATO.
Ni kweli lakini NATO na wasio NATO wanachangishana silaha na vikwazo kumdhibiti Urusi peke yake.
Hata Kosovo haikua NATO lakini NATO walienda kuisaidia.
Hata Libya sio NATO lkn NATO walienda kuwasaisia walibya.
 
Wafadhili wakubwa wa ICC ndio hizo hizo nchi za magharibi, hivyo mahakama haina ubavu wa kuukata mkono unaowalisha.
Na kwa sababu hiyo ndio maana Urusi hatakubali kushitakiwa katika mahakama hiyo.
Kesi ya tumbili hakimu nyani.😂😂🤣🤣🙏 Kwa hapa tumbili ndio Ukraine,ndio mlalamikaji.
Mshitakiwa Simba ndio Urusi.😂😂😂😃👏👏👏
 
Nashindwa kuelewa Hali ilipofikia sijui kwann Ukraine hashambulii ndani ya Urusi maana Urusi ni kama vile anapigana total war Hana anachobakiza akiamua kurusha makombora hajali wapi yatatua yaani ni popote tu nadhani ni muda wa Ukraine sasa kufanya hivyo.
 
Back
Top Bottom