Dr Rutagwerera Sr
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 5,809
- 11,462
Nakumbuka sana hizi picha 2002-2003 nikitazama CNN zilikua zinanichefua sana na kunikosesha raha moyoni.ICC ni Kwa ajili ya nchi ndogo ndogo,hawana uwezo wa kudeal na hizi giant countries!
Mfano uhalifu wa Bush huko Iraq na Afghan,ICC waliufyata!
Hiyo picha hapo chini ni POW wa Afghan waliokuwa mahabusu!
Hakuna aliyekuwa accountable!
View attachment 2533630
Correction mkuu hizi picha ilikua kule Iraq.ICC ni Kwa ajili ya nchi ndogo ndogo,hawana uwezo wa kudeal na hizi giant countries!
Mfano uhalifu wa Bush huko Iraq na Afghan,ICC waliufyata!
Hiyo picha hapo chini ni POW wa Afghan waliokuwa mahabusu!
Hakuna aliyekuwa accountable!
View attachment 2533630
Nakubaliana na wewe.Ukrainian President Volodymyr Zelenskyy said he spoke with Karim Khan, prosecutor of the International Criminal Court, about "terrible crimes committed by the Russian occupiers on the territories of Ukraine."
No crime committed by Russian troops should go unpunished and "those guilty of them must be brought to justice," Zelenskyy said on his official Telegram channel, according to an NBC News translation.
=======================
ICC wanaendelea kukusanya ushahidi wa uhalifu wa Putin na genge lake, haki haina ukomo
Katika gereza la Abu graib.Correction mkuu hizi picha ilikua kule Iraq.
Yap!Katika gereza la Abu graib.
Ni kweli lakini NATO na wasio NATO wanachangishana silaha na vikwazo kumdhibiti Urusi peke yake.Ukraine sio mwanachama wa NATO.
Na kwa sababu hiyo ndio maana Urusi hatakubali kushitakiwa katika mahakama hiyo.Wafadhili wakubwa wa ICC ndio hizo hizo nchi za magharibi, hivyo mahakama haina ubavu wa kuukata mkono unaowalisha.
Amekosea TU nchi ulipofanyika uhalifu huo,pengine amesahau ni muda mrefu.Correction mkuu hizi picha ilikua kule Iraq.