KAKA NASOKI
Senior Member
- May 25, 2016
- 191
- 212
Inasikitisha kuona nyara za serilkali zinakamatwa ikiwa tayari zimevunwa, iki maanisha wanyama wameshauwawa nyama, ngozi na pembe zao kunyofolewa.
Najiuliza, ng'ombe wa wafugaji wanaingia porini kimyakimya lakini wanawasikia na kukamata, majangili wanaingia kwa magari yenye mingurumo na kuuwa wanyama kwa risasi zenye mlio mkubwa sana tena usiku, lakini hatusikii wakikamatwa hadi nyara hizo haramu zije kamatwa na Poloisi wa kawaida.
Kulikoni?
Najiuliza, ng'ombe wa wafugaji wanaingia porini kimyakimya lakini wanawasikia na kukamata, majangili wanaingia kwa magari yenye mingurumo na kuuwa wanyama kwa risasi zenye mlio mkubwa sana tena usiku, lakini hatusikii wakikamatwa hadi nyara hizo haramu zije kamatwa na Poloisi wa kawaida.
Kulikoni?