Askari waliomsindikza Mbowe mahakamani

Ilikuwa ni gari moja tu?
Wale waliotuhumiwa kwa ugaidi kipindi kile, ambao kwa sasa wameachwa huru, msafara ulikuwa na sifa ule, mbele, nyuma, masilaha, askari wamefunika uso, ilimradi tu ugaidi uonekane!

Sio mbaya lakini, utawala huu nasikia uko tofauti.
 
Gaidi lazima alindwe na jeshi kubwa mana muda wowote magaidi wenzake wanaweza kuja kumuokoa kama vile tunavoangalia movie majambazi wanavowaokoa wenzao wa faida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…