Askari wanaotuhumiwa kwa mauaji Mtwara wanaomba upelelezi uharakishwe

Askari wanaotuhumiwa kwa mauaji Mtwara wanaomba upelelezi uharakishwe

dyuteromaikota

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2013
Posts
5,929
Reaction score
8,327
Nchi hii tumezoea kuona watu wanasoteshwa lumande kwa kisingizio cha upelelezi haujakamilika. Na kwa kesi za muaji ndo kabisaa unaweza kaa hata miaka mitano mtu hajui hatima yake. Leo hii eti nao wanalalamika upelelezi kuchelewa.

Malipo ni hapa hapa duniani.

20220523_204010.jpg
 
Nchi hii tumezoea kuona watu wanasoteshwa lumande kwa kisingizio cha upelelezi haujakamilika. Na kwa kesi za muaji ndo kabisaa unaweza kaa hata miaka mitano mtu hajui hatima yake. Leo hii eti nao wanalalamika upelelezi kuchelewa.

Malipo ni hapa hapa duniani.

Upelelezi gani unahohitajika,Hawa inabidi wale shaba za vichwa,tumalizane nao.
 
Back
Top Bottom