KERO Askari wanatukamata Wafanyakazi wa SGR kisa tumesema Mkandarasi hajaingiza malipo yetu ya NSSF

KERO Askari wanatukamata Wafanyakazi wa SGR kisa tumesema Mkandarasi hajaingiza malipo yetu ya NSSF

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Sisi Wafanyakazi wa Ujenzi wa SGR kwa hapa Lot 1 ambayo inahusisha Dar – Moro baada ya kulalamika kuhusu Mkandarasi Mkuu, Yapi Merkezi kuwaondoa watu kazini kwa gia ya likizo huku wakiwa hawatulipi stahiki zetu ikiwemo, malipo ya NSSF, kumeibuka baadhi ya Askari wa Jeshi la Polisi wanatukamata kwamba kwa nini tunatoa siri.

Baada ya sisi kugoma kuanzia Jumatatu ya wiki hii (Septemba 2, 2024) tukishinikiza jamaa waingize fedha zetu tunazodai za NSSF, Idara ya HR ya Yapi inashirikiana na Polisi kutupa vitisho na kukamata watu ili mgomo uishe.

Mpaka muda tunaandika andiko hili wenzetu Tisa wameshakamatwa wakiwatuhumu makosa mbalimbali, wengine wamechukuliwa simu zao ili tu watunyamazishe.

Yapi wametoa tangazo kuwa hakuna atakayefukuzwa bila kulipwa haki yake, wamepandika hilo tangazo ubaoni ili tulione, ni jambo zuri lakini mbona upande wa pili wanataka kutunyamazisha?

Tunajua mradi umekamilika kwa asilimia kubwa na punguzo ni la kawaida, lakini kwa nini wasitupe chetu tumalizane vizuri?

Wafanyakazi wengi hatujaingizia makato ya NSSF tangu mwaka jana licha ya kuwa kila mwezi tunakatwa kwenye mshahara.

Tunatuma ujumbe huu kwa IGP, Waziri Mkuu, Makamu wa Rais na mama yetu Rais Samia Suluhu, watusaidie Mkandarasi atupe haki zetu ili tuachane kwa amani na sio kupeana vitisho na kuwakamata wenzetu.
WhatsApp Image 2024-09-04 at 21.13.50_01c4b8ca.jpg

Tangazo la Yapi baada ya sisi kugoma
 
Haki hakii - itapatikana naamini

Jana nkaona tangazo kuna tatizo la kiufundi matangazo yatarejea baada ya muda.....mpaka dk ya 94 hayakurejea
 
Sisi Wafanyakazi wa Ujenzi wa SGR kwa hapa Lot 1 ambayo inahusisha Dar – Moro baada ya kulalamika kuhusu Mkandarasi Mkuu, Yapi Merkezi kuwaondoa watu kazini kwa gia ya likizo huku wakiwa hawatulipi stahiki zetu ikiwemo, malipo ya NSSF, kumeibuka baadhi ya Askari wa Jeshi la Polisi wanatukamata kwamba kwa nini tunatoa siri.

Baada ya sisi kugoma kuanzia Jumatatu ya wiki hii (Septemba 2, 2024) tukishinikiza jamaa waingize fedha zetu tunazodai za NSSF, Idara ya HR ya Yapi inashirikiana na Polisi kutupa vitisho na kukamata watu ili mgomo uishe.

Mpaka muda tunaandika andiko hili wenzetu Tisa wameshakamatwa wakiwatuhumu makosa mbalimbali, wengine wamechukuliwa simu zao ili tu watunyamazishe.

Yapi wametoa tangazo kuwa hakuna atakayefukuzwa bila kulipwa haki yake, wamepandika hilo tangazo ubaoni ili tulione, ni jambo zuri lakini mbona upande wa pili wanataka kutunyamazisha?

Tunajua mradi umekamilika kwa asilimia kubwa na punguzo ni la kawaida, lakini kwa nini wasitupe chetu tumalizane vizuri?

Wafanyakazi wengi hatujaingizia makato ya NSSF tangu mwaka jana licha ya kuwa kila mwezi tunakatwa kwenye mshahara.

Tunatuma ujumbe huu kwa IGP, Waziri Mkuu, Makamu wa Rais na mama yetu Rais Samia Suluhu, watusaidie Mkandarasi atupe haki zetu ili tuachane kwa amani na sio kupeana vitisho na kuwakamata wenzetu.
View attachment 3087312
Tangazo la Yapi baada ya sisi kugoma
Huyo hajatumia njia sahihi anabadili maneno.

Kugoma kijinga kunaweza kuwa ni uhujumu uchumi.
 
Huyo hajatumia njia sahihi anabadili maneno.

Kugoma kijinga kunaweza kuwa ni uhujumu uchumi.
Hapa tu ndio napowachukiaga nyie watu. Yaan mrad umeshaisha halafu mtu hajaingiziwa hela tangu mwaka jana na huu ni mwez wa tisa. Halafu soma jibu la huyu kigagula. Huu unafiki cjui unawasaidia nini.
 
Hapa tu ndio napowachukiaga nyie watu. Yaan mrad umeshaisha halafu mtu hajaingiziwa hela tangu mwaka jana na huu ni mwez wa tisa. Halafu soma jibu la huyu kigagula. Huu unafiki cjui unawasaidia nini.
Mradi haujaisha.

Nani kasema mradi wa SGR umeisha?

Kama umeisha wana faida gani ya kugoma? Wanaigomea hewa?
 
Sisi Wafanyakazi wa Ujenzi wa SGR kwa hapa Lot 1 ambayo inahusisha Dar – Moro baada ya kulalamika kuhusu Mkandarasi Mkuu, Yapi Merkezi kuwaondoa watu kazini kwa gia ya likizo huku wakiwa hawatulipi stahiki zetu ikiwemo, malipo ya NSSF, kumeibuka baadhi ya Askari wa Jeshi la Polisi wanatukamata kwamba kwa nini tunatoa siri.

Baada ya sisi kugoma kuanzia Jumatatu ya wiki hii (Septemba 2, 2024) tukishinikiza jamaa waingize fedha zetu tunazodai za NSSF, Idara ya HR ya Yapi inashirikiana na Polisi kutupa vitisho na kukamata watu ili mgomo uishe.

Mpaka muda tunaandika andiko hili wenzetu Tisa wameshakamatwa wakiwatuhumu makosa mbalimbali, wengine wamechukuliwa simu zao ili tu watunyamazishe.

Yapi wametoa tangazo kuwa hakuna atakayefukuzwa bila kulipwa haki yake, wamepandika hilo tangazo ubaoni ili tulione, ni jambo zuri lakini mbona upande wa pili wanataka kutunyamazisha?

Tunajua mradi umekamilika kwa asilimia kubwa na punguzo ni la kawaida, lakini kwa nini wasitupe chetu tumalizane vizuri?

Wafanyakazi wengi hatujaingizia makato ya NSSF tangu mwaka jana licha ya kuwa kila mwezi tunakatwa kwenye mshahara.

Tunatuma ujumbe huu kwa IGP, Waziri Mkuu, Makamu wa Rais na mama yetu Rais Samia Suluhu, watusaidie Mkandarasi atupe haki zetu ili tuachane kwa amani na sio kupeana vitisho na kuwakamata wenzetu.
View attachment 3087312
Tangazo la Yapi baada ya sisi kugoma
Baada ya sisi kugoma kuanzia Jumatatu ya wiki hii (Septemba 2, 2024) tukishinikiza jamaa waingize fedha zetu tunazodai za NSSF, Idara ya HR ya Yapi inashirikiana na Polisi kutupa vitisho na kukamata watu ili mgomo uishe.🥺🥺🥺
 
Mradi haujaisha.

Nani kasema mradi wa SGR umeisha?

Kama umeisha wana faida gani ya kugoma? Wanaigomea hewa?
Huo mradi unajua kuwa una wakandarasi tofauti tofauti lakin au unaongea tu. Na kila mkandarasi ana wafanyakazi wake. Acheni unafiki angalau kidogo mtaheshimika.
 
Back
Top Bottom