master09
JF-Expert Member
- Aug 12, 2013
- 813
- 561
Habarini,
Leo asubuhi foleni imekuwa kubwa sana barabara ya Ali Hassani Mwinyi.
Hivyo basi, abiria wengi wanatumia bajaji au pikipiki cha ajabu askari wanawakamata boda na bajaji kisa wametanua.
Bajaji wangu nimemkingia kifua kwamba hakuna kosa kutumia njia mbadala inaruhusiwa pale panapokuwa na foleni.
Waliopo hapo Moroco stand wamulikwe hawa askari
Leo asubuhi foleni imekuwa kubwa sana barabara ya Ali Hassani Mwinyi.
Hivyo basi, abiria wengi wanatumia bajaji au pikipiki cha ajabu askari wanawakamata boda na bajaji kisa wametanua.
Bajaji wangu nimemkingia kifua kwamba hakuna kosa kutumia njia mbadala inaruhusiwa pale panapokuwa na foleni.
Waliopo hapo Moroco stand wamulikwe hawa askari