Askari wanavizia bajaji Morocco Bus Stand kwenda Posta

Askari wanavizia bajaji Morocco Bus Stand kwenda Posta

master09

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2013
Posts
813
Reaction score
561
Habarini,

Leo asubuhi foleni imekuwa kubwa sana barabara ya Ali Hassani Mwinyi.

Hivyo basi, abiria wengi wanatumia bajaji au pikipiki cha ajabu askari wanawakamata boda na bajaji kisa wametanua.

Bajaji wangu nimemkingia kifua kwamba hakuna kosa kutumia njia mbadala inaruhusiwa pale panapokuwa na foleni.

Waliopo hapo Moroco stand wamulikwe hawa askari
 
Hawa askari wetu sijui hawajifunzi tu, nini maana ya service road? Traffic inapokua kubwa lazima itumike njia mbadala ili kupunguza jam, sasa huu ni muda watu wanarush makazini lazima kuwe na jam, release!
 
Hio barabara inafoleni sana sikuhz sijui shida ni nini

Hiyo barabara miaka yote huwa ni kimeo, na hata walipoibomoa na kuijenga upya sio kwamba wameongeza idadi ya lanes za kupita
 
Habarini,

Leo asubuhi foleni imekuwa kubwa sana barabara ya Ali Hassani Mwinyi.

Hivyo basi, abiria wengi wanatumia bajaji au pikipiki cha ajabu askari wanawakamata boda na bajaji kisa wametanua.

Bajaji wangu nimemkingia kifua kwamba hakuna kosa kutumia njia mbadala inaruhusiwa pale panapokuwa na foleni.

Waliopo hapo Moroco stand wamulikwe hawa askari
Hakuna hata mmoja hapo wa kujitolea kama Hamza?
 
Back
Top Bottom