ASKARI WATIIFU

ASKARI WATIIFU

Chinduli Jr

Member
Joined
Nov 21, 2016
Posts
47
Reaction score
21
Askari wameitwa kwenye nyumba ambayo kuna ugomvi, walipofika ikabidi waripoti kwa simu yale waloyakuta.
Askari; Mkuu tumekuja hapa tumekuta mama wa nyumba amempiga mumewe chuma cha kichwa na kumuumiza sana.
AFANDE; Kisa na mkasa gani hata akafanya hivyo
ASKARI; Mama alikua anasafisha jikoni na kupiga deki, sasa mumewe akaingia jikoni na viatu kabla sakafu haijakauka
AFANDE; Mushamkamata huyo mama???
ASKARI; Hapana bado mkuu
AFANDE; Mnangoja nini sasa?
ASKARI; Tunangoja sakafu ikauke afande.
 
Back
Top Bottom