Wasalaamu......................................
Mimi ni msikilizaji mzuri sana wa vipindi vya Wapo TV vya Askofu Gamanywa na Ngonyani sidhani kama kuna kipindi nimekosa toka wameanza Oct 7 2023.
Nakiri kabisa Askofu Ngonyani biblia anaijua hilo halina shaka (HILI SINA SHAKA NAE 100%) kuna siku alieza juu ya kwanini wana wa israeli waliambiwa wasivunje mfupa na kwanini Yesu hakuvunjwa mfupa akaeleza nikasema huyu mzee anajua aisee
sasa jumapili iliyopita ya tarehe 26 Januari 2025 alikuwa anafundisha somo la KIPAWA(nimemuelewa vizuri sana) ila sasa alipokuja kuanza kusema mambo ya kucheza mpira hapo nikasita kidogo nikaona tuangalie hivi VIPAWA vifuatavyo ambavyo havina tofauti na Mpira
Kipawa cha Ngumi-MMA fighting,WWE,boxing
Mkristo unakipawa cha kupiga ngumi, sasa naingia ulingoni nachakaza mpinzani narudi kusema asante Yesu leo umenipa ngumi nzito sana ya kupiga
Born-Again Christian akimpiga Teke la shavu agnostic
Mtu mwenye (Mungu Baba, Mwana na Roho) ndani yake akipokea Sweet Chin Music safi (Teke la shingo) matata kutoka kwa mtu asie-OKOKA
Kipawa cha Mpira, Rugby, Basketball
Mlokole David Luiz-Uzuri Chelsea hawana kamati ya ufundi,
Sasa Mlokole na kamati ya ufundi hapo inakuaje, wakati mwingine tunaonda watu wanatengeneza uwanja kabla ya mechi
Askofu alisema hata hizi pia ni kipawa(Fashions) kitumie Mkristo lakini Askofu alipata ukakasi kwenye masomo ya jumamosi kukubali kwamba Uwoya ameokoka (Uwoya ni mama mchungaji anaetumia kipawa cha Fashion)
Naendelea kujifunza-Naona somo la leo la tarehe 29 Januari(Historia ya IsraeleI lina masaa 2 youtube, wacha nikaikilize
Mimi ni msikilizaji mzuri sana wa vipindi vya Wapo TV vya Askofu Gamanywa na Ngonyani sidhani kama kuna kipindi nimekosa toka wameanza Oct 7 2023.
Nakiri kabisa Askofu Ngonyani biblia anaijua hilo halina shaka (HILI SINA SHAKA NAE 100%) kuna siku alieza juu ya kwanini wana wa israeli waliambiwa wasivunje mfupa na kwanini Yesu hakuvunjwa mfupa akaeleza nikasema huyu mzee anajua aisee
sasa jumapili iliyopita ya tarehe 26 Januari 2025 alikuwa anafundisha somo la KIPAWA(nimemuelewa vizuri sana) ila sasa alipokuja kuanza kusema mambo ya kucheza mpira hapo nikasita kidogo nikaona tuangalie hivi VIPAWA vifuatavyo ambavyo havina tofauti na Mpira
Kipawa cha Ngumi-MMA fighting,WWE,boxing
Mkristo unakipawa cha kupiga ngumi, sasa naingia ulingoni nachakaza mpinzani narudi kusema asante Yesu leo umenipa ngumi nzito sana ya kupiga
Born-Again Christian akimpiga Teke la shavu agnostic
Mtu mwenye (Mungu Baba, Mwana na Roho) ndani yake akipokea Sweet Chin Music safi (Teke la shingo) matata kutoka kwa mtu asie-OKOKA
Kipawa cha Mpira, Rugby, Basketball
Mlokole David Luiz-Uzuri Chelsea hawana kamati ya ufundi,
Sasa Mlokole na kamati ya ufundi hapo inakuaje, wakati mwingine tunaonda watu wanatengeneza uwanja kabla ya mechi
Askofu alisema hata hizi pia ni kipawa(Fashions) kitumie Mkristo lakini Askofu alipata ukakasi kwenye masomo ya jumamosi kukubali kwamba Uwoya ameokoka (Uwoya ni mama mchungaji anaetumia kipawa cha Fashion)
Naendelea kujifunza-Naona somo la leo la tarehe 29 Januari(Historia ya IsraeleI lina masaa 2 youtube, wacha nikaikilize