Askofu Bagonza: Ili tusirudi huko tulikotoka Mifumo na Taasisi Imara ndio muhimu kuliko Super Woman au Super Mwamba!

Askofu Bagonza: Ili tusirudi huko tulikotoka Mifumo na Taasisi Imara ndio muhimu kuliko Super Woman au Super Mwamba!

Katiba iliyopo ina viraka sana, hakuna sababu ya kuanza kutoa kiraka kimoja na kuweka kingine, hiyo kama ni nguo imeshachoka haifai kuvaliwa.

Katiba Mpya haiwezi kuwa tunaanza moja, maisha yataendelea kama kawaida, tofauti itakayokuwepo itakuwa ni mabadiliko ya sheria zitakazotuongoza.

Pia, hata ikipatikana Katiba Mpya, bado itafanyiwa mabadiliko, ndio maana kuna amendent za Katiba, lazima mambo yabadilike kuendana na wakati, hakuna Katiba itakayokuja kujitosheleza kwa kila kitu kwa wakati wote.
Kama hakuna Katiba itakayojitosheleza kwa Wakati Wote Ndio anasema tuendelee kurekebisha tu hii iliyopo!
 
Askofu Bagonza wa KKKT Ngara amesema Ili tusirudi huko tulikotoka Mifumo na Taasisi Imara Ndio muhimu kuliko Super Woman au Super Mwamba

Bagonza amesema takwa la Katiba mpya ni la Jana wala siyo la Leo na kwamba Watawala wanaihitaji Katiba mpya kuliko Watawaliwa

Source Jambo TV
Huyu mzee sijui huwa anatatizo gn?, anateseka sana,si aache uchungaji awe mwana siasa,toka akabidhiwe kadi ya chadema,imekuwa taabu,
 
Back
Top Bottom