BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Jaji Mwangesi Pokea Mzigo toka kwa CAG
Kila mfumo una uwezo wa kujiharibu. Demokrasia ina uwezo wa kujiua. Udikteta una uwezo wa kujiua ndani yake. Uliberali unayo sumu yake. Si sumu ya kuua mifumo mingine bali kujiua. Tumeona jinsi awamu ya tano ilivyotengeneza sumu ya kujiua. Ilipobana Uhuru wa maoni, Uhuru wa vyombo vya habari, Uhuru wa bunge, Uhuru wa vyama vya siasa, Uhuru wa mahakama na mawakili na Uhuru wa kiuchumi, ilikuwa imetengeneza sumu ya kujiua. Sumu hiyo inaitwa WASIOJULIKANA na ilikuwa inauzwa duka moja tu: IKULU.
Ameingia mpangaji mpya, duka limefungwa. Ameleta Odita (Auditor). Anaitwa CAG. Amekagua akakuta madudu. Giza lilipoingia, wadudu walikula kila kitu mpaka wakala moyo wa mpangaji aliyekuwemo. Ahsante CAG.
Jaji Mwangesi, Kamishna wa Maadili ana kazi ya kufanya. Apokee mzigo toka kwa CAG. Hawa wadudu waliokula bila kunawa wakaguliwe mali zao. Ndege haikutengenezwa lakini yawezekana ilijengwa hoteli binafsi mahali fulani. Fedha zilipopita Zimamoto zilienda wapi? Kuna watu ni matajiri kuliko vitengo walivyoviongoza. Ifanyike Audit ya wahusika. Mtu alikuwa Lodi Lofa jumapili, kesho yake ni tajiri wa Kikurya au Kizanaki😂😂 .
Nirudie tena: Nyumba yetu ya kupanga iliyo Magogoni na Chamwino inahitaji mkataba mpya wa wapangaji. Si kila mpangaji anayeingia aje na yake. Kuna wengine wanapaka kinyesi kuta zetu. KATBA MPYA, MKATABA MPYA. Asiyependa abaki na kodi yake. Tukikosa wapangaji tutafugia kuku, nguruwe ni haramu.
Mzigo toka kwa CAG
Kila mfumo una uwezo wa kujiharibu. Demokrasia ina uwezo wa kujiua. Udikteta una uwezo wa kujiua ndani yake. Uliberali unayo sumu yake. Si sumu ya kuua mifumo mingine bali kujiua. Tumeona jinsi awamu ya tano ilivyotengeneza sumu ya kujiua. Ilipobana Uhuru wa maoni, Uhuru wa vyombo vya habari, Uhuru wa bunge, Uhuru wa vyama vya siasa, Uhuru wa mahakama na mawakili na Uhuru wa kiuchumi, ilikuwa imetengeneza sumu ya kujiua. Sumu hiyo inaitwa WASIOJULIKANA na ilikuwa inauzwa duka moja tu: IKULU.
Ameingia mpangaji mpya, duka limefungwa. Ameleta Odita (Auditor). Anaitwa CAG. Amekagua akakuta madudu. Giza lilipoingia, wadudu walikula kila kitu mpaka wakala moyo wa mpangaji aliyekuwemo. Ahsante CAG.
Jaji Mwangesi, Kamishna wa Maadili ana kazi ya kufanya. Apokee mzigo toka kwa CAG. Hawa wadudu waliokula bila kunawa wakaguliwe mali zao. Ndege haikutengenezwa lakini yawezekana ilijengwa hoteli binafsi mahali fulani. Fedha zilipopita Zimamoto zilienda wapi? Kuna watu ni matajiri kuliko vitengo walivyoviongoza. Ifanyike Audit ya wahusika. Mtu alikuwa Lodi Lofa jumapili, kesho yake ni tajiri wa Kikurya au Kizanaki😂😂 .
Nirudie tena: Nyumba yetu ya kupanga iliyo Magogoni na Chamwino inahitaji mkataba mpya wa wapangaji. Si kila mpangaji anayeingia aje na yake. Kuna wengine wanapaka kinyesi kuta zetu. KATBA MPYA, MKATABA MPYA. Asiyependa abaki na kodi yake. Tukikosa wapangaji tutafugia kuku, nguruwe ni haramu.
Kila mfumo una uwezo wa kujiharibu. Demokrasia ina uwezo wa kujiua. Udikteta una uwezo wa kujiua ndani yake. Uliberali unayo sumu yake. Si sumu ya kuua mifumo mingine bali kujiua. Tumeona jinsi awamu ya tano ilivyotengeneza sumu ya kujiua. Ilipobana Uhuru wa maoni, Uhuru wa vyombo vya habari, Uhuru wa bunge, Uhuru wa vyama vya siasa, Uhuru wa mahakama na mawakili na Uhuru wa kiuchumi, ilikuwa imetengeneza sumu ya kujiua. Sumu hiyo inaitwa WASIOJULIKANA na ilikuwa inauzwa duka moja tu: IKULU.
Ameingia mpangaji mpya, duka limefungwa. Ameleta Odita (Auditor). Anaitwa CAG. Amekagua akakuta madudu. Giza lilipoingia, wadudu walikula kila kitu mpaka wakala moyo wa mpangaji aliyekuwemo. Ahsante CAG.
Jaji Mwangesi, Kamishna wa Maadili ana kazi ya kufanya. Apokee mzigo toka kwa CAG. Hawa wadudu waliokula bila kunawa wakaguliwe mali zao. Ndege haikutengenezwa lakini yawezekana ilijengwa hoteli binafsi mahali fulani. Fedha zilipopita Zimamoto zilienda wapi? Kuna watu ni matajiri kuliko vitengo walivyoviongoza. Ifanyike Audit ya wahusika. Mtu alikuwa Lodi Lofa jumapili, kesho yake ni tajiri wa Kikurya au Kizanaki😂😂 .
Nirudie tena: Nyumba yetu ya kupanga iliyo Magogoni na Chamwino inahitaji mkataba mpya wa wapangaji. Si kila mpangaji anayeingia aje na yake. Kuna wengine wanapaka kinyesi kuta zetu. KATBA MPYA, MKATABA MPYA. Asiyependa abaki na kodi yake. Tukikosa wapangaji tutafugia kuku, nguruwe ni haramu.
Mzigo toka kwa CAG
Kila mfumo una uwezo wa kujiharibu. Demokrasia ina uwezo wa kujiua. Udikteta una uwezo wa kujiua ndani yake. Uliberali unayo sumu yake. Si sumu ya kuua mifumo mingine bali kujiua. Tumeona jinsi awamu ya tano ilivyotengeneza sumu ya kujiua. Ilipobana Uhuru wa maoni, Uhuru wa vyombo vya habari, Uhuru wa bunge, Uhuru wa vyama vya siasa, Uhuru wa mahakama na mawakili na Uhuru wa kiuchumi, ilikuwa imetengeneza sumu ya kujiua. Sumu hiyo inaitwa WASIOJULIKANA na ilikuwa inauzwa duka moja tu: IKULU.
Ameingia mpangaji mpya, duka limefungwa. Ameleta Odita (Auditor). Anaitwa CAG. Amekagua akakuta madudu. Giza lilipoingia, wadudu walikula kila kitu mpaka wakala moyo wa mpangaji aliyekuwemo. Ahsante CAG.
Jaji Mwangesi, Kamishna wa Maadili ana kazi ya kufanya. Apokee mzigo toka kwa CAG. Hawa wadudu waliokula bila kunawa wakaguliwe mali zao. Ndege haikutengenezwa lakini yawezekana ilijengwa hoteli binafsi mahali fulani. Fedha zilipopita Zimamoto zilienda wapi? Kuna watu ni matajiri kuliko vitengo walivyoviongoza. Ifanyike Audit ya wahusika. Mtu alikuwa Lodi Lofa jumapili, kesho yake ni tajiri wa Kikurya au Kizanaki😂😂 .
Nirudie tena: Nyumba yetu ya kupanga iliyo Magogoni na Chamwino inahitaji mkataba mpya wa wapangaji. Si kila mpangaji anayeingia aje na yake. Kuna wengine wanapaka kinyesi kuta zetu. KATBA MPYA, MKATABA MPYA. Asiyependa abaki na kodi yake. Tukikosa wapangaji tutafugia kuku, nguruwe ni haramu.