Askofu Bagonza: Jaji Mwangesi Pokea Mzigo toka kwa CAG

Askofu Bagonza: Jaji Mwangesi Pokea Mzigo toka kwa CAG

BAK

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2007
Posts
124,790
Reaction score
288,165
Jaji Mwangesi Pokea Mzigo toka kwa CAG

Kila mfumo una uwezo wa kujiharibu. Demokrasia ina uwezo wa kujiua. Udikteta una uwezo wa kujiua ndani yake. Uliberali unayo sumu yake. Si sumu ya kuua mifumo mingine bali kujiua. Tumeona jinsi awamu ya tano ilivyotengeneza sumu ya kujiua. Ilipobana Uhuru wa maoni, Uhuru wa vyombo vya habari, Uhuru wa bunge, Uhuru wa vyama vya siasa, Uhuru wa mahakama na mawakili na Uhuru wa kiuchumi, ilikuwa imetengeneza sumu ya kujiua. Sumu hiyo inaitwa WASIOJULIKANA na ilikuwa inauzwa duka moja tu: IKULU.

Ameingia mpangaji mpya, duka limefungwa. Ameleta Odita (Auditor). Anaitwa CAG. Amekagua akakuta madudu. Giza lilipoingia, wadudu walikula kila kitu mpaka wakala moyo wa mpangaji aliyekuwemo. Ahsante CAG.

Jaji Mwangesi, Kamishna wa Maadili ana kazi ya kufanya. Apokee mzigo toka kwa CAG. Hawa wadudu waliokula bila kunawa wakaguliwe mali zao. Ndege haikutengenezwa lakini yawezekana ilijengwa hoteli binafsi mahali fulani. Fedha zilipopita Zimamoto zilienda wapi? Kuna watu ni matajiri kuliko vitengo walivyoviongoza. Ifanyike Audit ya wahusika. Mtu alikuwa Lodi Lofa jumapili, kesho yake ni tajiri wa Kikurya au Kizanaki😂😂 .

Nirudie tena: Nyumba yetu ya kupanga iliyo Magogoni na Chamwino inahitaji mkataba mpya wa wapangaji. Si kila mpangaji anayeingia aje na yake. Kuna wengine wanapaka kinyesi kuta zetu. KATBA MPYA, MKATABA MPYA. Asiyependa abaki na kodi yake. Tukikosa wapangaji tutafugia kuku, nguruwe ni haramu.
Mzigo toka kwa CAG

Kila mfumo una uwezo wa kujiharibu. Demokrasia ina uwezo wa kujiua. Udikteta una uwezo wa kujiua ndani yake. Uliberali unayo sumu yake. Si sumu ya kuua mifumo mingine bali kujiua. Tumeona jinsi awamu ya tano ilivyotengeneza sumu ya kujiua. Ilipobana Uhuru wa maoni, Uhuru wa vyombo vya habari, Uhuru wa bunge, Uhuru wa vyama vya siasa, Uhuru wa mahakama na mawakili na Uhuru wa kiuchumi, ilikuwa imetengeneza sumu ya kujiua. Sumu hiyo inaitwa WASIOJULIKANA na ilikuwa inauzwa duka moja tu: IKULU.

Ameingia mpangaji mpya, duka limefungwa. Ameleta Odita (Auditor). Anaitwa CAG. Amekagua akakuta madudu. Giza lilipoingia, wadudu walikula kila kitu mpaka wakala moyo wa mpangaji aliyekuwemo. Ahsante CAG.

Jaji Mwangesi, Kamishna wa Maadili ana kazi ya kufanya. Apokee mzigo toka kwa CAG. Hawa wadudu waliokula bila kunawa wakaguliwe mali zao. Ndege haikutengenezwa lakini yawezekana ilijengwa hoteli binafsi mahali fulani. Fedha zilipopita Zimamoto zilienda wapi? Kuna watu ni matajiri kuliko vitengo walivyoviongoza. Ifanyike Audit ya wahusika. Mtu alikuwa Lodi Lofa jumapili, kesho yake ni tajiri wa Kikurya au Kizanaki😂😂 .

Nirudie tena: Nyumba yetu ya kupanga iliyo Magogoni na Chamwino inahitaji mkataba mpya wa wapangaji. Si kila mpangaji anayeingia aje na yake. Kuna wengine wanapaka kinyesi kuta zetu. KATBA MPYA, MKATABA MPYA. Asiyependa abaki na kodi yake. Tukikosa wapangaji tutafugia kuku, nguruwe ni haramu.
 
Shukrani sana Mkuu natamani nilichokisema kisingetimia maana ni madudu mwanzo mwisho.
Nilijua jamaa ni bomu lakini si kiasi hiki. Mwenyezi Mungu katunusuru na maovu mengi sana.
Mkuu BAK nakumbuka ulisema ilikua 2015, awamu ya tano itakua ya kifisadi sana na hatutaamin, tu subiri Mtupoli atoke madarakani..
Heshima kwako Kiongozi.
 
Mataga hawaelewi kabisa ...

Jiwe alinyofoa ubongo akabakisha vichwa hewa ..


Yaan empty headed
Mataga tupo imara. Jiwe kiboko, kaenda zake lakini Bado anatetemesha watu hawalali wanawaza kumchafua tu, jamani kazi yake kamaliza, fanyeni yenu, tuachieni kabisa.
 
Awamu ya mwendazake imekuja na funzo,kuwatambua wachungaji,maaskofu na mashehe wa kweli na wachumia tumbo.heshima sana kwenu Bagonza ,Mwamakula na wengineo mliosimamia mlichokiamini mpaka dakika ya mwisho licha ya vitisho na misuko suko mliyokutana nayo.
 
Huyu ni mmoja wa Maaskofu ambao hawakunyamazishwa kwa vitisho wala kelele

Wala hakuyumba au kusita Mungu atuongezee Viongozi wa Dini kama Askofu Bagonza na Shekhe Ponda na Askofu Mwamakula.

Wametuvusha salama sasa waendeleze misumari hiyo hiyo.
 
Huyu, Ruwaichi, Shoo, Mwamakula na Niwemuigizi nawaheshimu sana.
Huyu ni mmoja wa Maaskofu ambao hawakunyamazishwa kwa vitisho wala kelele

Wala hakuyumba au kusita Mungu atuongezee Viongozi wa Dini kama Askofu Bagonza na Shekhe Ponda na Askofu Mwamakula.

Wametuvusha salama sasa waendeleze misumari hiyo hiyo.
 
Jaji Mwangesi Pokea Mzigo toka kwa CAG

Kila mfumo una uwezo wa kujiharibu. Demokrasia ina uwezo wa kujiua. Udikteta una uwezo wa kujiua ndani yake. Uliberali unayo sumu yake. Si sumu ya kuua mifumo mingine bali kujiua. Tumeona jinsi awamu ya tano ilivyotengeneza sumu ya kujiua. Ilipobana Uhuru wa maoni, Uhuru wa vyombo vya habari, Uhuru wa bunge, Uhuru wa vyama vya siasa, Uhuru wa mahakama na mawakili na Uhuru wa kiuchumi, ilikuwa imetengeneza sumu ya kujiua. Sumu hiyo inaitwa WASIOJULIKANA na ilikuwa inauzwa duka moja tu: IKULU.

Ameingia mpangaji mpya, duka limefungwa. Ameleta Odita (Auditor). Anaitwa CAG. Amekagua akakuta madudu. Giza lilipoingia, wadudu walikula kila kitu mpaka wakala moyo wa mpangaji aliyekuwemo. Ahsante CAG.

Jaji Mwangesi, Kamishna wa Maadili ana kazi ya kufanya. Apokee mzigo toka kwa CAG. Hawa wadudu waliokula bila kunawa wakaguliwe mali zao. Ndege haikutengenezwa lakini yawezekana ilijengwa hoteli binafsi mahali fulani. Fedha zilipopita Zimamoto zilienda wapi? Kuna watu ni matajiri kuliko vitengo walivyoviongoza. Ifanyike Audit ya wahusika. Mtu alikuwa Lodi Lofa jumapili, kesho yake ni tajiri wa Kikurya au Kizanaki[emoji23][emoji23] .

Nirudie tena: Nyumba yetu ya kupanga iliyo Magogoni na Chamwino inahitaji mkataba mpya wa wapangaji. Si kila mpangaji anayeingia aje na yake. Kuna wengine wanapaka kinyesi kuta zetu. KATBA MPYA, MKATABA MPYA. Asiyependa abaki na kodi yake. Tukikosa wapangaji tutafugia kuku, nguruwe ni haramu.
Mzigo toka kwa CAG

Kila mfumo una uwezo wa kujiharibu. Demokrasia ina uwezo wa kujiua. Udikteta una uwezo wa kujiua ndani yake. Uliberali unayo sumu yake. Si sumu ya kuua mifumo mingine bali kujiua. Tumeona jinsi awamu ya tano ilivyotengeneza sumu ya kujiua. Ilipobana Uhuru wa maoni, Uhuru wa vyombo vya habari, Uhuru wa bunge, Uhuru wa vyama vya siasa, Uhuru wa mahakama na mawakili na Uhuru wa kiuchumi, ilikuwa imetengeneza sumu ya kujiua. Sumu hiyo inaitwa WASIOJULIKANA na ilikuwa inauzwa duka moja tu: IKULU.

Ameingia mpangaji mpya, duka limefungwa. Ameleta Odita (Auditor). Anaitwa CAG. Amekagua akakuta madudu. Giza lilipoingia, wadudu walikula kila kitu mpaka wakala moyo wa mpangaji aliyekuwemo. Ahsante CAG.

Jaji Mwangesi, Kamishna wa Maadili ana kazi ya kufanya. Apokee mzigo toka kwa CAG. Hawa wadudu waliokula bila kunawa wakaguliwe mali zao. Ndege haikutengenezwa lakini yawezekana ilijengwa hoteli binafsi mahali fulani. Fedha zilipopita Zimamoto zilienda wapi? Kuna watu ni matajiri kuliko vitengo walivyoviongoza. Ifanyike Audit ya wahusika. Mtu alikuwa Lodi Lofa jumapili, kesho yake ni tajiri wa Kikurya au Kizanaki[emoji23][emoji23] .

Nirudie tena: Nyumba yetu ya kupanga iliyo Magogoni na Chamwino inahitaji mkataba mpya wa wapangaji. Si kila mpangaji anayeingia aje na yake. Kuna wengine wanapaka kinyesi kuta zetu. KATBA MPYA, MKATABA MPYA. Asiyependa abaki na kodi yake. Tukikosa wapangaji tutafugia kuku, nguruwe ni haramu.
Yaani wewe jamaa huyu Askofu sijui huwa na kufanyaga nini?
Sidhani kama mkewe anajuwa kuwa wewe ni mke mwenzie.
 
Back
Top Bottom