Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,351
- 9,855
Ila ukiona kiongozi wa siasa Kama Magufuli kila jumapili amesima madhabahuni anaongelea siasa unafarijika sanaNikisikia kiongozi wa dini anajihusisha na masuala ya siasa huwa nakwazika sana.
Sana sana nafarijika napoona anahimiza waamini wajikite katika kufuata misingi yote pasipo kuvunja sheria za nchi.
Maneno ya hekima kabisa haya ya baba askofu. Kwa hakika Askofu Bagonza ana hoja nzito:
View attachment 1983684
View attachment 1983686
View attachment 1983687
Kwa hakika kumvisha JK yanayojiri awamu ya sita ni kumkosea sana. Anamalizia baba askofu kwa kusema:
View attachment 1983688
Barikiwa sana baba askofu kwa kuendelea kutuchotea busara na uzoefu uliopewa na Mola wetu kila inapowezekana.
Ulipoanza kutukana ulitegemea nini na elimu, busara na common sense ni nini? I didn't know I am arguing with a goon who doesn't know what he/she saying. Keep off this forum if you are not ready to accommodate the views of othersAkhsante sana kwa kututhibitishia kuwa huna elimu, huna busara, huna hata "common sense" ya kujua jema na baya la kuandika hadharani.
Matusi ni kwa vilaza na wenye matatizo ya kiakili, kiroho, kielimu, kijamii na kimaisha.
Askofu alichoeleza hakina shaka. Kilicho na shaka ni ile hali ya kujifanya mwanasiasa. Kwa nafasi yake sitaki aonekane wa hovyo kama akina Gwajima matapeli wanaotumia majoho ya kujipachika kuishiKwani askofu kaongelea ubora wa awamu ya 4 au katoa utofauti wa awamu ya 4 na 6.Vip kichwa chako ni kidogo sana kuelewa au shida nini?
Hujui usemali mbwakokoo wee chokoooUkweli umekuuma !Unatabia za umalaya wa kisiasa ,means bila kujikomba huwezi kula.
Watu huoooo!!! AhahahaMwingi sana, hadi nje uleeeee.....
viongoz wetu wasomi,Watu huoooo!!! Ahahaha
Inahusu upolitician wa awamu ya 5 Kwa hii najua sii awamu pendwa kwakos
Nilichoandika ni darasa tosha,ndiyo maana nawe umefundishika sasa, kwani badala ya kuandika "dalasa", umeandika "darasa", na hii imeonyesha umeanza kujifunza.Nenda kafungue darasa ufundishe usitupigie kelele hapa
Kibano kikikolea utasikia "Halafu viongozi wa Dini wapo kimya tu bila kukemea".Nikisikia kiongozi wa dini anajihusisha na masuala ya siasa huwa nakwazika sana.
Sana sana nafarijika napoona anahimiza waamini wajikite katika kufuata misingi yote pasipo kuvunja sheria za nchi.
Yeye sio kiongozi wa dini popote akienda anaongea na wapiga kura wake haingizi dini kanisani ulitaka ahubiri wakati sio kiongozi wa dini.Ila ukiona kiongozi wa siasa Kama Magufuli kila jumapili amesima madhabahuni anaongelea siasa unafarijika sana
Bagonza anazeeka vibayaManeno ya hekima kabisa haya ya baba askofu. Kwa hakika Askofu Bagonza ana hoja nzito:
View attachment 1983684
View attachment 1983686
View attachment 1983687
Kwa hakika kumvisha JK yanayojiri awamu ya sita ni kumkosea sana. Anamalizia baba askofu kwa kusema:
View attachment 1983688
Barikiwa sana baba askofu kwa kuendelea kutuchotea busara na uzoefu uliopewa na Mola wetu kila inapowezekana.
Kapotoka kama Bagonza kuingia kwenye siasa wote sawaGwajiboi je?
Badala ya kujibu hoja umekimbilia kutukana, hii inaonyesha ni jinsi gani ulivyo empty kichwani... Kubwa jinga.Kwa msengeee kama wewe ni rahisi kusema usemayo. Hakuna malaya wa kisiasa kama viongozi wa kiroho wenye uroho wanaojifanya wakosoaji wakati ni wezi kwa waumini wao. Mwl Nyerere alitufundisha kutochanganya dini na siasa. Huwezi tumikia mabwana wawili kwa usawa. Umeelewa fwaki you kuku?
Bagonza anazeeka vibaya
Ahamie politics tu sasa