Pre GE2025 Askofu Bagonza, mbona Lissu anaropoka hutoi maoni yako au unamuogopa?

Pre GE2025 Askofu Bagonza, mbona Lissu anaropoka hutoi maoni yako au unamuogopa?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kila cku www unajifanya kukosoa serikali, kila anachokifanya Rais wa nchi wewe huachi kutoa maoni, maoni yako watu wa chadema wanayopost kila mahali hadi chooni.

Kuna mlevi mmoja anaitwa Lissu, hana mipaka katika kuongea, hajulikan kama anapoongea majukwaani anakuwa amekula ngada au cha arusha au cha same au K vant.

Juzi kasema chadema kuna hela chafu, mbona kimya bwana Bagonza.

Wewe ni mnafiki kama viongozi wengine wanafiki mliopo chadema.

Watu wanategemea ww ukiwa kama kiongozi wa dini useme neno kuhusu ushetani wa Lissu, umeganda kimya ukimhofia Lissu.

Toa maoni yako Bagonza, Lissu unamuogopea nini?
Jibu hoja za lisu acha kutikisa makalio, hao ccm na samia wao kama hawataki kusemwa, waachie ngazi! Ikulu sio Mali Yao binafsi, hatuwezi, kumwambia bskheresa aachie ngazi pale Azam, wala hatuangaiki kumsema ile ni Mali yake binafsi, Ila kwa, hawa kenge wanaokusanya Kodi zetu, lazima, tuwape makavu, hawatqki, wakabidhi nchi
 
Kila cku www unajifanya kukosoa serikali, kila anachokifanya Rais wa nchi wewe huachi kutoa maoni, maoni yako watu wa chadema wanayopost kila mahali hadi chooni.

Kuna mlevi mmoja anaitwa Lissu, hana mipaka katika kuongea, hajulikan kama anapoongea majukwaani anakuwa amekula ngada au cha arusha au cha same au K vant.

Juzi kasema chadema kuna hela chafu, mbona kimya bwana Bagonza.

Wewe ni mnafiki kama viongozi wengine wanafiki mliopo chadema.

Watu wanategemea ww ukiwa kama kiongozi wa dini useme neno kuhusu ushetani wa Lissu, umeganda kimya ukimhofia Lissu.

Toa maoni yako Bagonza, Lissu unamuogopea nini?
Akili mavi za kizanzibar hizi! Unazijua kabisa!
 
Kila cku www unajifanya kukosoa serikali, kila anachokifanya Rais wa nchi wewe huachi kutoa maoni, maoni yako watu wa chadema wanayopost kila mahali hadi chooni.

Kuna mlevi mmoja anaitwa Lissu, hana mipaka katika kuongea, hajulikan kama anapoongea majukwaani anakuwa amekula ngada au cha arusha au cha same au K vant.

Juzi kasema chadema kuna hela chafu, mbona kimya bwana Bagonza.

Wewe ni mnafiki kama viongozi wengine wanafiki mliopo chadema.

Watu wanategemea ww ukiwa kama kiongozi wa dini useme neno kuhusu ushetani wa Lissu, umeganda kimya ukimhofia Lissu.

Toa maoni yako Bagonza, Lissu unamuogopea nini?
Kwa vyovyote iwavyo una kitu tunaita low esteem na ukiiendekeza tutakuja kukuletea matunda wodi ya wagonjwa wa akili. Katafute tiba.
 
Kila cku www unajifanya kukosoa serikali, kila anachokifanya Rais wa nchi wewe huachi kutoa maoni, maoni yako watu wa chadema wanayopost kila mahali hadi chooni.

Kuna mlevi mmoja anaitwa Lissu, hana mipaka katika kuongea, hajulikan kama anapoongea majukwaani anakuwa amekula ngada au cha arusha au cha same au K vant.

Juzi kasema chadema kuna hela chafu, mbona kimya bwana Bagonza.

Wewe ni mnafiki kama viongozi wengine wanafiki mliopo chadema.

Watu wanategemea ww ukiwa kama kiongozi wa dini useme neno kuhusu ushetani wa Lissu, umeganda kimya ukimhofia Lissu.

Toa maoni yako Bagonza, Lissu unamuogopea nini?
Hata wewe unaruhusiwa kutoa kwanini Askofu?
 
Mleta mada, na watu kama Etwege, uwezo wao unaishia KKK (kuandika, Kuhesabu na Kusoma). Hawana analysis wala reasoning knowledge. Ni wa kuwahurumia. Hawakujaliwa afya nzuri ya akili. Kwa vile hawakupenda kuwa hivyo, tuwasamehe. Bahati yao mbaya ya pili, hawajui hata tatizo walilo nalo kichwani.
Vichwa vyao vimejaa maji ubongo wao haujai hata kijiko cha chai
 
Back
Top Bottom