Askofu Bagonza: Mbowe ameshinda kuliko alivyoshindwa. Tuzo ya Mo Ibrahim inamhusu

Mbowe Ni mchaga na mmachame, mmachame awe 'me' au 'ke' akiona kitu pesa hanaga ndugu, CCM baada ya kulijua Hilo wakatupa Chambo yao ambayo kaimeza na haijamletea madhara na katoka nje ya system kawaachia wengine
Husimchonganishe!!!1
 
Askofu kanena kweli, maana utulivu ulioonekana katika uchaguzi wa chadema mwanzo hadi mwisho, ni hekima ya mwenyekiti aliyetoka. Chaguzi nyingi za vyama vya sisa hasa upinzani huisha kwa vurugu.
 
Assnte Mheshimiwa Askofu Bagonza, hata mimi nasema .... siamini kama mmeshinda lakini sina pa kukata rufaa.. ..

Ushindi kidogo sana kulinganisha na kelele zile.
Kelele zilikuwa kubwa sana ,ushindi kiduchu ,pongezi kwa Lissu
 
Huyu askofu naye kilaza, tuzo za Mo Ibrahim ni kwa ajili ya marais wastaafu wakati Mbowe siyo tu hakuwa rais baali ni kiongozi wa chama aaliyeshindwa kwenye sanduku la kura na king'ang'anizi wa madaraka.
So unadhani baba askofu hajui hicho ulicho kisema? Anajua na anajua why kaandika hivo
 
Huyu mzee kwenye dini nafikiri alienda kwa sababu ya maslahi tu lakini siyo wito wake! Siasa anaipenda sana yaweza kuwa ndio sehemu yake halisi!
Umebahatika kusoma soma maandiko hasa Biblia? Hasa story za manabii? Majority ya manabii sababu ya wao kufa ilikua kukosoa wana siasa, hakuna anacho kikosea Bagonza
 
Bagonza kila neno lake lina maana zaidi ya 2, ni vyema kutuliza akili kabla ya kusema chochote na ni vyema zaidi kutokusema chochote juu ya aliyoyaandika Bagonza kama huna ufahamu wa falsafa katika maandishi yake.

Kila andishi lake ni chakula cha akili, nimeshiba.
 
Swali, nini mtazamo wake juu ya Mwamba kukalia kiti miaka 20+ na bado akataka tena?
Naomba mnampongeza kwa kushindwa, ilhali alikuwa bado anakitaka kiti.
 
Kila mtu ana uhuru wa kujadili jambo lolote kwa kadiri ya ufahamu wake.
Na huo ndiyo uhuru wa maoni.
Hiki ulichoandika ni fallacy ya kutaka kuwanyamazisha wanaowaza tofauti wasikosoe.

Ameandika mambo ya kawaida ambayo yako bayana kwa kila mmoja, katumia lugha tamu na poetic presentation, lakini siyo falsafa!

Kutoa maoni baada ya tukio siyo falsafa!
 
Mbowe alishazidiwa alikuwa hana namna.
Na wakumbuke kuwa kile ni chama cha siasa, siyo dola
Angeng'ang'ania mafaraka watu wangemwachia chama.

Sasa sielewi hawa wanaomtukuza mshindwaji wana maana gani. Jamaa alishapoteza kote. Sikio la kufa...
 
Hiyo tuzo kipewe CHADEMA badala ya mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…