Askofu Bagonza: Mbowe ametoka Gerezani lakini hayupo huru

Askofu Bagonza: Mbowe ametoka Gerezani lakini hayupo huru

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2019
Posts
762
Reaction score
6,984
Na Baba Askofu Bagonza Kalikawe

HAYUKO HURU; YUKO NJE YA GEREZA

Niwakumbushe?

Mwezi Februari 1990, Nelson Mandela akatolewa jela. Akaja Tanzania kushukuru. Tukajipanga na mabango na kushangilia MANDELA IS FREE!

Akasimama Kambarage, akasema MANDELA IS NOT FREE, HE IS OUT OF PRISON. Kwa nini? Kwa sababu sheria iliyomuweka to gerezani miaka 27 bado ipo haijafutwa.

Mbowe ametoka gerezani alimokaa miezi 8. Watu wanashangilia kuwa MBOWE YUKO HURU. Mimi nasema hayuko huru bali YUKO NJE YA GEREZA kwa sababu sheria iliyomshtaki na kumnyima dhamana bado haijafutwa.

Punguzeni mashangilio, boresheni fikra na mikakati ya kuifanya Tanzania kuwa mahali ambapo HAKI inapigana busu na AMANI.

Mbowe pole na hongera
Mama Happy 1 year Anniversary.

TANZANIA IMESHINDA.
 
Hatupo huru.

Mbowe au mwingine yeyote anaweza kurudishwa lock up anytime kama ataongea au kufanya chochote kitachotafsiriwa vibaya na mtawala au vibaraka wake.

Kama taifa naona bado tuna safari ndefu sana ya kutafuta haki na uhuru wa kweli, ile haki itakayotolewa kwa watanzania wote bila kujali itikadi, kabila, rangi, au dini zao, kwa sasa tunafurahia Mbowe kuwa huru simply kuifurahisha mioyo yetu iliyopooza miezi minane iliyopita.
 
Na Baba Askofu Bagonza Kalikawe

HAYUKO HURU; YUKO NJE YA GEREZA

Niwakumbushe?

Mwezi Februari 1990, Nelson Mandela akatolewa jela. Akaja Tanzania kushukuru. Tukajipanga na mabango na kushangilia MANDELA IS FREE!

Akasimama Kambarage, akasema MANDELA IS NOT FREE, HE IS OUT OF PRISON. Kwa nini? Kwa sababu sheria iliyomuweka to gerezani miaka 27 bado ipo haijafutwa.

Mbowe ametoka gerezani alimokaa miezi 8. Watu wanashangilia kuwa MBOWE YUKO HURU. Mimi nasema hayuko huru bali YUKO NJE YA GEREZA kwa sababu sheria iliyomshtaki na kumnyima dhamana bado haijafutwa.

Punguzeni mashangilio, boresheni fikra na mikakati ya kuifanya Tanzania kuwa mahali ambapo HAKI inapigana busu na AMANI.

Mbowe pole na hongera
Mama Happy 1 year Anniversary.

TANZANIA IMESHINDA.
Ngumu kumesa!
 
Na Baba Askofu Bagonza Kalikawe

HAYUKO HURU; YUKO NJE YA GEREZA

Niwakumbushe?

Mwezi Februari 1990, Nelson Mandela akatolewa jela. Akaja Tanzania kushukuru. Tukajipanga na mabango na kushangilia MANDELA IS FREE!

Akasimama Kambarage, akasema MANDELA IS NOT FREE, HE IS OUT OF PRISON. Kwa nini? Kwa sababu sheria iliyomuweka to gerezani miaka 27 bado ipo haijafutwa.

Mbowe ametoka gerezani alimokaa miezi 8. Watu wanashangilia kuwa MBOWE YUKO HURU. Mimi nasema hayuko huru bali YUKO NJE YA GEREZA kwa sababu sheria iliyomshtaki na kumnyima dhamana bado haijafutwa.

Punguzeni mashangilio, boresheni fikra na mikakati ya kuifanya Tanzania kuwa mahali ambapo HAKI inapigana busu na AMANI.

Mbowe pole na hongera
Mama Happy 1 year Anniversary.

TANZANIA IMESHINDA.
Nondo zimekamilika. Kwa Askofu maana yake tusibweteke
 
Hatupo huru.

Mbowe au mwingine yeyote anaweza kurudishwa lock up anytime kama ataongea au kufanya chochote kitachotafsiriwa vibaya na mtawala au vibaraka wake.

Kama taifa naona bado tuna safari ndefu sana ya kutafuta haki na uhuru wa kweli, ile haki itakayotolewa kwa watanzania wote bila kujali itikadi, kabila, rangi, au dini zao, kwa sasa tunafurahia Mbowe kuwa huru simply kuifurahisha mioyo yetu iliyopooza miezi minane iliyopita.
Kwa michongo ile hata kassimu majaliwa anaweA kutupwa jela.

Kitu kinasukwa kwa DPP na DCI
 
Back
Top Bottom