Askofu Bagonza: Muujiza wa elimu ya Tanzania kiongozi akichaguliwa leo akiwa hajui kitu, akishaingia madarakani kesho yake anakuwa anajua kila kitu

Askofu Bagonza: Muujiza wa elimu ya Tanzania kiongozi akichaguliwa leo akiwa hajui kitu, akishaingia madarakani kesho yake anakuwa anajua kila kitu

Mag3

Platinum Member
Joined
May 31, 2008
Posts
13,413
Reaction score
23,592
Wahenga walisema, "a fool and his money are soon parted!"

Si ajabu nchi iliyojaaliwa maziwa na asali hivi leo ni nchi masikini.

Je kuna haja ya kujiuliza tumefikaje huko kama Watanzania?

Adui wa taifa hili ni moja tu...aliyehatamia madaraka toka uhuru!

1632282979480.png

A fool and his money are soon parted.

CCM kupewa ulinzi wa taifa hili ni sawa na fisi kupewa ulinzi wa duka la nyama!

Halafu tunajiuliza nani kala nyama huku CCM ina damu mdomoni.

Kilaza anapewa madaraka leo, kesho anajua kila kitu!

Halafu sifa zaanza kumiminika, mkombozi kapatikana...kweli!
 
You are very right dear. Tanzania mwanasiasa akishapata uteuzi au akichaguliwa basi yeye ana akili kuliko watu wengine wote. Na mbaya zaidi ni kuwa sasa hivi wengi ya watu walioko kwenye madaraka ni ''fools''. Trust me. Wenye akili wote wako benchi, nchi imeshikwa na wajinga. Hawaoni mbele hawaoni nyuma. Kila uteuzi ni heri ya ulifanyika jana. halafu huyu mama ni mweupe pe pe!
 
You are very right dear. Tanzania mwanasiasa akishapata uteuzi au akichaguliwa basi yeye ana akili kuliko watu wengine wote. Na mbaya zaidi ni kuwa sasa hivi wengi ya watu walioko kwenye madaraka ni ''fools''. Trust me. Wenye akili wote wako benchi, nchi imeshikwa na wajinga. Hawaoni mbele hawaoni nyuma. Kila uteuzi ni heri ya ulifanyika jana. halafu huyu mama ni mweupe pe pe!
Watu weusi always ndivo tulivyo ....hta shuleni mtu alikuwa akichaguliwa kuwa monitor au kiranja anabadilika kbsa tabia.
 
Wahenga walisema, "a fool and his money are soon parted!"

Si ajabu nchi iliyojaaliwa maziwa na asali hivi leo ni nchi masikini.

Je kuna haja ya kujiuliza tumefikaje huko kama Watanzania?

Adui wa taifa hili ni moja tu...aliyehatamia madaraka toka uhuru!

A fool and his money are soon parted.

CCM kupewa ulinzi wa taifa hili ni sawa na fisi kupewa ulinzi wa duka la nyama!

Halafu tunajiuliza nani kala nyama huku CCM ina damu mdomoni.

Kilaza anapewa madaraka leo, kesho anajua kila kitu!

Halafu sifa zaanza kumiminika, mkombozi kapatikana...kweli!
Kweli maaana hata huyu mwanamke ana akili kuliko wote tangu April
 
Eti tunashughulikia kwanza maendeleo katiba sio kipaumbele. Kama vile katiba inazuia maendeleo. Hawa wenzetu wanasomea wapi?
Ni kama kudai msingi wa nyumba si kipaumbele, kwanza kuta zipakwe rangi zipendeze!

Hujui kwamba hizo kuta hata zipendeze vipi kama msingi utayumba hazitabaki salama.

Sasa ajabu! Kutamka tu unaitikiwa kwa vifijo na nderemo...hiyo ndiyo Tanzania na hao ndio viongozi wetu.
 
Huyu askofu atunukiwe uprofesa, ana akili Sana.

Eti hata Babu Tale asiyejua kusoma na kuandika baada ya kuwa mbunge amejigeuza kuwa mhandisi wa kujenga daraja la miti
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Mpaka sasa mbungi liko bila bila, nahodha haelewi kinachoendelea hata yeye hajui nani mbaya
 
Back
Top Bottom